Bodi ya mkopo kuna changamoto katika mfumo wake wa maombi ya mkopo(OLAMS) haufunguki kabsa. Sasa sijui watu husika wameshaiona changamoto hii maana muda ni mali na deadline ikifika wanapita mulemule hawakumbuki kuwa changamoto hii imechelewesha wanafunzi kufanya application mapema.
Kutokana na...