olimpiki tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Melubo Letema

    Kufutwa kwa Mchakato wa uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania ( TOC)

    Katiba ya mchongo imemlazimu Msajili kufuta uchaguzi wa kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC).
  2. A

    DOKEZO Kwani Serikali inamuogopa Bayi na wenzake? Hatupati Medali Olimpiki kutokana na makandokando ya Viongozi wa juu wa TOC

    Naanza na kunukuu maneno ya Mwanariadha maarufu Nchini, Alphonce Simbu ambayo nimeona JamiiForums.com ilimnukuu wakati anawasili akitokea Paris, Ufaransa alipoenda na Wanamichezo wenzake kushiriki Michezo ya Olimpiki 2024. Simbu “Tulitakiwa tuijue njia ambayo tutaenda kukimbia miezi miwili...
  3. o_2

    Tanzania tunakwama wapi kutengeneza wakina Beatrice Chebet kama ilivyo Kenya?

    Kushinda aje? Baada ya mizunguko yangu ya leo, nimerudi magetoni nawasha Tv supersport 9 nakutana na highlights za mashindano mbalimbali ya olimpiki yanayoendelea nchini Ufaransa katika jiji la Paris. Ghafla nakutana na mdada BEATRICE CHEBET kutoka Kenya. Ameshindana marathon M 5,000 na M...
  4. daraja la kigamboni

    Mashindano ya Olimpiki Ufaransa 2024

    Habari wapenda michezo, Nimefuatilia michezo ya olimpiki France 2024, naona kuna michezo mingi sana. Najiuliza kwa nini Tanzania hatupeleki washiriki kwenye michezo kama kuruka juu na chini, kurusha mkuki, kurusha tufe, ambayo sioni kama inahitaji vipaji sana. Kuna mchezo wa kutembea tu Soma...
Back
Top Bottom