MBUNGE OLIVER SEMGURUKA AIOMBA SERIKALI KUKAMILISHA HUDUMA ZOTE ZA AFYA MKOA WA KAGERA
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kagera Mhe. Oliver Semguruka amechangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Afya Bungeni jijini Dodoma tarehe 15 Mei, 2023 iliyosomwa na Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu
"Mkoa wa...