Ngoma za wasanii hawa wawili zinapishana katika playlist yangu muda huu, nashindwa kuamua nani ni mkali kwani ngoma zote ni za moto.
Mdau wa muziki wa kizazi kipya, kwa sikio na jicho lako, yupi ni mkali wa maandishi, melody, sauti na performance ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.