once again

  1. Bob Manson

    Jay Melody (Jay once again) Vs Marioo(Toto bad)

    Ngoma za wasanii hawa wawili zinapishana katika playlist yangu muda huu, nashindwa kuamua nani ni mkali kwani ngoma zote ni za moto. Mdau wa muziki wa kizazi kipya, kwa sikio na jicho lako, yupi ni mkali wa maandishi, melody, sauti na performance ?
Back
Top Bottom