Maafisa kutoka Wizara ya Afya wamelazimika kusitisha kikao ambacho kilikuwa kinakusudia kufundisha wafanyakazi walioteuliwa kuhusu Mfuko mpya wa Bima ya Afya ya Jamii (SHIF).
Hii ni baada ya baadhi ya Wakenya kuvamia kikao hicho, na kuanza kuimba nyimbo za kupinga SHIF.
Mmoja wa wasemaji...