ooh

"Flex (Ooh, Ooh, Ooh)" is a song by American rapper Rich Homie Quan. It was released on February 10, 2015, as a single from his fifth mixtape If You Ever Think I Will Stop Goin' in Ask RR (Royal Rich) (2015). It was produced by DJ Spinz and Nitti Beatz.

View More On Wikipedia.org
  1. AI (Akili Mnemba) itaua kazi za watu, sijui wasomi watakosa kazi aah wapi. Indispensable human on the loop

    AI inao uwezo wa kujichanganya, tuwe makini asee. Leo katika kuchakata swali moja la kitafiti la kutenganisha bidhaa zilizomo katika pombe nikagundua. Ili kuzitumia taarifa zilizopo katika mfumo ni muhimu uwe na elimu kuhusu jambo hilo kiasi. Ndio maana siku zote mifumo inahitaji kushirikiana...
  2. Mkifanya maombi jihadharani kutaja Gadi, Mungu ni God

    Hasaa wale mnaopenda kusali kizungu, maombi mengine hamjibiwi kutokana na kuomba kwenu. Unasikia mtuu dear Gadi, help m uvwxyz Gadi, please dear Gadi. Maombi mengine mnapeleka kwenye kampuni za walinzi. Mnamaliza mnajua Mungu amewasikia, mnaanza kumlalamikia Mungu hajibu maombi kumbe wewe...
  3. OOH!! CONGO!!

    Jeshi la Congo limekimbia kuelekea Goma baanda ya kusikia M23 inakalibia ku kamata mji wa Sake km chache kuelekea Goma,walipo fika Goma Miltary Police(MP) waka wakimbiza na viboko warudi kupigana!🤣🤣 Na inasemekana Sake ikikamatwa basi watu wa Goma kupata chakula ni kutumia ndege maana barabara...
  4. R

    Serikali na Wadau wa afya sikieni kilio hiki cha NHIF

    Siku Moja katika pita pita zangu nlikutana na Jamaa mmoja anitwa NHIF ,huyu jamaa ni mdau mkubwa sana wa Afya kwa kifupi ni kajitolea kuwatunzia pesa zao Watu kwa Ajiri ya Matibabu yao baadae . Wakati napita alikuwa mlangoni nlimsikia akilia kwa Nguvu sana akisema Ooh God ,thank you for another...
  5. K

    Ooh! Boney-M, Boney-M, lini utarudi tena?

    Kwa kweli nikiusikiliza wimbo wao wa "By the river of Babylon", aisee, sauti zao ni tamu mnooo!! Utafuteni YouTube mshuhudie wenyewe!!
  6. Wanapenda kusema ooh, Afrika Kusini ndugu zetu. Wasikie 'Wasauzi' wenyewe

    While they bootlick South Africans claiming they are their brothers and they helped them get independence, here is what South Africans feel. I always tell my Tanzanian brothers, a perceived favor cannot grant you friendship to someone. I don't see them mentioning Tanzanians. 🤣 🤣
  7. K

    Masanja Mkandamizaji: Watu ooh! Mama anasafiri sana. Ulitaka asafiri babaako?

    Kauli hii ya kifedhuli ameitoa Masanja Mkandamizaji alipopewa nafasi ya kuburudisha leo hii mbele ya mamilioni ya Watanzania na wana-Afirika Mashariki kwa ujumla, waliokuwa wanafuatilia sherehe za Uhuru wa Tanganyika kupitia runinga. Kauli hii inawabeza Watanzania wenye moyo wa kuipenda nchi...
  8. M

    Mbeya, Ooh! My dear Mbeya!

    Nilikulia na kulelewa Mbeya maeneo ya Majengo na Nonde-machinjioni. (1974-1980). Nikaondoka kwenda kusaka maisha. Nikalowea huko nilikokuwa. Nimerudi majuzi. Daa!! Ooh! Mbeya, my dear Mbeya!
  9. Ooh! Kumbe Beatrice, nilidhani Rachel

    Isome mwenyewe
  10. N

    Ooh happy day: Oh lalalala siku nzuri sana hii, asante Mungu

    OOH HAPPY DAY ..lalalalalalalalalalaaaa lalalalalaaaa Siku imeanza vizuri sana Thank you Jesus kwako kila goti litapigwa,nakula double kicks za kutosha huku nikiangalia movie ya UNDERCOVER BROTHER OOOH HAPPY DAY..USHUKURIWE MUNGU
  11. Mapokezi ya Lissu jijini Mwanza ni ishara kwamba wakazi wake si wabaguzi wala wakatili

    Mwanamuziki Hayati DK Remmy Ongala alitunga wimbo wa Mwanza, Ingawa aliimba na Bukoba, Kagera Alisifu Sana ukarimu wa watu wa Mwanza. Nanukuu kidogo maneno ya wimbo huo, Kisha nitaleta hoja ya mada yangu. Remmy aliimba: Mwanza ooh Mwanza,Mwanza mji mzuriiii Mji wa Mwanza umezungukwa na lake...
  12. #COVID19 Waganda mjiandae na hotuba ya Museveni kesho

    Baada ya 14 days kuisha. Mkuu ameomba kuhutubia taifa kueleza jitihada zaidi za kuchukua kuepukana na coronaa. TujiaNdae na lolote
  13. Tanzania Yapata Mwanamziki Mpya

    Tanzania yapata Mwanamuziki Mpya. Hayo yametokea hivi karibuni baada ya Mwanamziki huyo Paw Sixs wa miondoko ya Pop kuachilia kibao chake cha "Ooh" Sasa unaweza kusikiliza kibao chake
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…