open university of tanzania

The Open University of Tanzania (OUT) is a distance learning public university in Tanzania. It was established by an Act of Parliament No. 17 of 1992. It is a single mode institution offering certificate, diploma and degree courses through distance learning. Its Headquarters is situated in Dar es Salaam, Tanzania, and conducts its operations through 30 Regional Centres and 70 Study Centres.
It consists of:

Faculty of Arts and Social Sciences
Faculty of Education
Faculty of Law
Faculty of Business Management
Faculty of Science, Technology and Environmental Studies
Institute of Continuing Education
Institute of Educational and Management Technologies
Directorate of Regional Services
Directorate of Research and Postgraduate Studies

View More On Wikipedia.org
  1. Mindyou

    Pre GE2025 Tusaidianeni. Kwanini wabunge wengi wamepata Bachelors na Masters kutoka Open University? Kuna siri gani kwenye hicho chuo?

    Wakuu, Nilikuwa napitia pitia CV za wabunge hapa wakuu. Hawa ndio wabunge, ambao wana degrees na masters kutokea kwenye hicho chuo cha Open University: Assenga Abubakar Damian – Mbunge wa Kilombero – Bachelor of Arts in Political Science Innocent Bashungwa – Mbunge wa Karagwe – Masters of...
  2. Roving Journalist

    Madai ya Chuo Kikuu Huria (OUT) kutolipa Watumishi stahiki zao, Chuo chatoa ufafanuzi

    Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (Open University of Tanzania - OUT), Adam Namamba amezungumza na JamiiForums kuhusu madai ya baadhi ya Watumishi wa Chuo hicho kutolipwa stahiki zao mbalimbali. Awali, Wanachama wa JamiiForums.com walidai kuna changamoto...
  3. JAMBONIA LTD

    Msaada kwa Waliosoma BSc. Food, Nutrition & Dietics pale Open University of Tanzania

    Habari wakubwa bila shaka mpo salama, nawahitaji wote mliosomo hiyo kozi au mnaendelea na masomo kozi hiyo hapo juu. Naomba uzoefu wenu katika hiyo kozi kuanzia uzuri wa kozi yenyewe katika nyaja zifuatazo: 1. Kwa maendeleo ya mtu binafsi yaa baadae kuanzia ajira na hata kujiajiri. 2...
  4. Lethergo

    Open University of Tanzania imepatwa na nini kwani?

    Wakuu salamu. Ningependa kwa anaejua hivi Open University of Tanzania website yao imepatwa na ugonjwa gani? Kuna mdau alifanya application ya kuomba nafasi undergraduate kwa kutumia Online application cha kushangaza baada ya hapo ni kwamba km website imepotea hajui km amechaguliwa au...
  5. Napoleon the second

    Naombeni ushauri wa kusoma Masters hii ya Open University

    Habari za majukumu wanajukwaa, bila shaka ni wazima wa afya. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu; Ndugu wanajukwaa naombeni ushauri wenu hasa kwa nyie wazoefu na hii kitu inayoitwa "Masters of Arts in International Cooperation and Development" inayotolewa na Chuo kikuu Huria cha...
  6. M

    Tunaotarajia kuomba Open University of Tanzania tukutane hapa wakuu

    Dirisha la maombi ya vyuo vikuu linafunguliwa tarehe 15 mwezi ujao. Kwa tunaotarajia kuomba OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA tukutane hapa tujadili mawili matatu, pia wenye uzoefu na Open University nawakaribisha mtupe uzoefu kuhusu chuo hiki kwenye mode of delivery, field na mengineyo. Nawasilisha.
  7. Azniv Protingas

    Ushauri juu ya kozi za kusoma

    Habari wana JF kwenye jukwaa la elimu, kma title inavyojieleza hapo juu. Mm ni mhitimu wa F6 mwaka 2022, bahati nzuri au mbaya matokeo yangu hayakuweza kuruhusu nijiunge na degree nlipata (DEE) kwenye masomo ya combination. Nia yangu ilikuwa kusoma data science km matokeo yangekuwa mazuri. Lkn...
  8. marehem x

    Tunaosoma Open University of Tanzania tukukutane

    Bi kupoteza muda. Mimi ni mgeni hapa wakuu nimecheki haraka haraka sioni thread maalumu ya OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA THREAD. Nataka kujiunga nisome stashahada ya uzamili na nataka panapo uzima niimalize kwa uharaka na iwe kama upepo wa kisulisuli. Sijawa mwanafunzi bado ila uanafunzi...
  9. G

    The Open University of Tanzania Postgraduate Diploma in Education meeting platform

    Karibuni wadau mliosoma au mnaosoma Open University of Tanzania Postgraduate ya Diploma in Education kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali
  10. Sumba-Wanga

    Chuo Kikuu Huria cha Tanzania ni cha Serikali?

    Nimekuwa najiuliza kama Chuo Kikuu Huria au OUT ni chuo cha serikali. Inakuwaje chuo cha serikali kikawa na mambo ya ajabu namna hii? Sisi Walimu kutoka nje tuliofanya kazi kama external examiners kwenye kazi za wanafunzi tuna zaidi ya miezi 6 hatujalipwa. Tukiuliza tunaambiwa utaratibu mpya wa...
  11. JAMBONIA LTD

    Hivi ukitaka kusoma Open University Tanzania (OUT) lazima kupata ruhusa ya Muajiri?

    Habari wakuu, Naomba kujua ukiwa mtumishi wa serikali na ukataka kujiendeleza kupitia Open University of Tanzania ambapo bado utaendelea na majukumu yako ya kazi, ni lazima uombe barua ya ruhusa ya mwajiri ya kujiendeleza kimasomo? Au unaweza kupiga kimya kimya tu haiana haja kama ya wale...
  12. Kasomi

    Chuo Kikuu Huria (Open University of Tanzania)

    Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (kwa Kiingereza: Open University of Tanzania) ni chuo kikuu kinachotoa kozi za cheti, stashahada na shahada kupita masomo ya mbali (Distance Learning). Makao makuu yako Dar es Salaam, Tanzania. Chuo Kikuu Huria kina takribani wanafunzi 70,000 kutoka ngazi mbalimbali...
  13. BenKaile

    Wanafunzi waliochaguliwa kozi ya foundation Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (Open University of Tanzania) mwaka 2019/2020

    https://www.out.ac.tz/wp-content/uploads/2019/09/OFP-Approved-Applicants-for-201920-round-1-and-2-for-website.pdf
  14. BenKaile

    Wanafunzi waliochaguliwa foundation course Chuo Kikuu Huria cha Tanzania 2019/2020

    https://www.out.ac.tz/wp-content/uploads/2019/09/OFP-Approved-Applicants-for-201920-round-1-and-2-for-website.pdf
Back
Top Bottom