Tanzania nchi ya amani, taifa lenye watu wapendwa amani, ukarimu, taifa lililoundwa na Mungu Kwa mapenzi yake, uoto wa asili, wanyama wa mwituni na wafugwao, misitu mikubwa ya asili, mito isiyokauka, madini na Kila chenye thamani machoni pa Mungu na mwanadamu, mbona wajiharibu mwenyewe?
Taifa...