Mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe amesema wale wanaodhani ana mgogoro na Tundu Antipas Lissu na wanasema CHADEMA imepasuka Watasubiri sana.
Mbowe amesema Chopa inaanza operation Jimbo la Karatu na ndani ya Chopa atakuwemo yeye Mbowe na Tundu Lissu.
Mlale Unono πππ₯
======
Freeman Mbowe akikanusha...
chadema
chadema wavurugana
chama cha demokrasia na maendeleo
freeman mbowe
lissu kuondoka chadema
mbowe na lissu hawapatani
mgogoro chadema
mpasuko chadema
operationkaratu
tundu lissu