Nimesikitishwa sana na kitendo cha Tv za bongo kutokuonyesha mashandano ya riadha ya kimataifa yanayofanyika nchini marekani , ambapo kwenye mashindano hayo baada ya kutafuta channel zote za Tanzania nilikosa nikafanikiwa kuyaona live kwenye channel ya Kenya iitwayo KBC
Nilishangaa kumwona...
MASHINDANO YA RIADHA YA DUNIA
July 16 2022
Eugene, Oregon USA
Kama watashinda mbio za marathon za 42km Jumapili ya tarehe 17 July 2022, basi wanariadha wa Tanzania Emanuel Giniki GISAMODA | Profile | World Athletics Emmanuel Giniki 2:10:39' nafasi 200 kwa ubora duniani huku Gabriel Geay...
Asubuhi ya Septemba 11 ingekuwa asubuhi tulivu kama ilivyo asubuhi ya siku nyingine yoyote katika mji wa Phoenix, Oregon, Magharibi mwa Marekani, lakini haikuwa hivyo!
Matt Manson anasimama kuangalia masalia ya gari lake lililoteketea kwa moto akiwa haamini anachokiona - magofu ya nyumba yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.