osama

Osama bin Mohammed bin Awad bin Laden al-Hadhrami al-Kindi (Arabic: أسامة بن محمد بن عوض بن لادن الحضرمي الكندي‎, ʾUsāmah bin Muḥammad bin ʿAwaḍ bin Lādin al-Ḥaḍramī al-Kindī; March 10, 1957 – May 2, 2011), also rendered Usama bin Ladin, was a Saudi Arabian Muslim jihadist who founded the pan-Islamic militant organization al-Qaeda, through which he planned and coordinated terror attacks around the world. He was a Saudi Arabian citizen until 1994 (stateless thereafter), a member of the wealthy bin Laden family, and an ethnic Yemeni Kindite and Hadhramite.Bin Laden's father was Mohammed bin Awad bin Laden, a Saudi millionaire from Hadhramaut, Yemen and the founder of the construction company, Saudi Binladin Group. His mother, Alia Ghanem, was from a secular middle-class family based in Latakia, Syria. He was born in Saudi Arabia and studied at university in the country until 1979, when he joined Mujahideen forces in Pakistan fighting against the Soviet Union in Afghanistan. He helped to fund the Mujahideen by funneling arms, money and fighters from the Arab world into Afghanistan, and gained popularity among many Arabs. In 1988, he formed al-Qaeda. He was banished from Saudi Arabia in 1992, and shifted his base to Sudan, until U.S. pressure forced him to leave Sudan in 1996. After establishing a new base in Afghanistan, he declared a war against the United States, initiating a series of bombings and related attacks. Bin Laden was on the American Federal Bureau of Investigation's (FBI) lists of Ten Most Wanted Fugitives and Most Wanted Terrorists for his involvement in the 1998 U.S. embassy bombings.Bin Laden is most well known for his role in masterminding the September 11 attacks, which resulted in the deaths of nearly 3,000 and prompted the United States to initiate the War on Terror. He subsequently became the subject of a decade-long international manhunt. From 2001 to 2011, bin Laden was a major target of the United States, as the FBI offered a $25 million bounty in their search for him. On May 2, 2011, bin Laden was shot and killed by United States Navy SEALs inside a private residential compound in Abbottabad, where he lived with a local family from Waziristan, during a covert operation conducted by members of the United States Naval Special Warfare Development Group and Central Intelligence Agency SAD/SOG operators on the orders of U.S. President Barack Obama. Under his leadership, the al-Qaeda organization was responsible for, in addition to the September 11 attacks in the United States, many other mass-casualty attacks worldwide.

View More On Wikipedia.org
  1. Chizi Maarifa

    Osama Bin Laden hakuuawa! Miaka zaidi ya 10 sasa

    Nakumbuka sana tulitangaziwa sehemu mbalimbali kuwa Osama hajauawa. Ni propaganda za Wamarekani. Na hoja ikawa kama kweli wamemuua kwa nini wasimwoneshe uso na mwili wake? Leo hii ni zaidi ya miaka 10 imepita je Osama Bin Laden atakuwa sehemu ametulia tu kimya? Au tukubaliane na ukweli ambao...
  2. Mjanja M1

    Unalijua hili kuhusu mtoto wa Osama bin Laden

    Je wajua? Omar bin Laden, mtoto wa nne wa Osama bin Laden, ni msanii na mwandishi, na sanaa yake inaonyeshwa nchini Ufaransa, ambako anaishi.
  3. Webabu

    Osama bin Hamdan wa Hamas asema hakuna kuachia mateka kabla Israel haijatekeleza matakwa yao

    Msemaji mkuu wa Hamas anayeishi Lebanon ameweka wazi kuwa kundi lake la Hamas limefuta mpango wa kubadilishana mateka wa Israel na wafungwa wa kipalestina kabla Israel haijaacha vita na kuondosha vikosi vyake vyote Gaza. Sharti jengine ni jeshi la Israel liondoe vizuizi vyote vya watu kurudi...
  4. Execute

    Mtoto wa tatu wa Osama bin Laden anaishi huru Ufaransa wakati mtoto wa kwanza anaishi bila passport Saudi Arabia

    Wazungu wana uungwana mwingi sana maana Omar bin Laden, anaishi kwa uhuru kule Normandy Ufaransa. Omar bin Laden Wakati mtoto wa kwanza, Abdallah bin Laden anaishi Saudi Arabia na haruhusiwi kwenda popote. Abdallah bin Laden
  5. clifford20

    Historia ya Osama Bin Laden

    Historia ya Osama bin Laden ni moja ya vyanzo vikubwa vya utata na machungu katika historia ya kimataifa, hasa kutokana na kiongozi huyo kuwa mwanzilishi na kiongozi wa kundi la kigaidi la Al-Qaeda. Hapa ni muhtasari wa historia ndefu ya Osama bin Laden na matukio muhimu duniani yanayohusiana...
  6. Chizi Maarifa

    Mtoto wa Osama Bin Laden apasua Ukweli. Asema hawaamini USA na pia kuna mambo yalimkwaza kwa baba yake

    Waislamu si ruhusa hata kunuswa na Mbwa inakuaje huyu Osama alifuga Mbwa? Osama Bin Laden alikuwa na Ajenda gani akaone atumie Dini kuzikamilisha? Sisi Wa kristo wa Masaki na Waislamu wa Buza huwa tunapelekeshwa tu katika mambo haya. ====== Mtoto wa Osama Bin Laden, Omar Bin ambaye wakati...
  7. T

    Osama El-labi ni bondia mzuri na anahitaji makocha wazuri tu ili kuja kuwa bingwa wa ndondi hapa nchini.

    Habari Jana usiku nlifuatilia mpambano kati ya emiliano patrick na Osama el-labi,kwa hakika nimevutiwa sana n kipaji cha huyu bondia chipukizi.Osama ametuonesha sisi wapenzi wa ndondi kuwa atakuja kuwa moja ya mabondia wazuri hapa nchini. Wito wangu ni kwa wadau wa ndondi kuweza kumpatia...
  8. sky soldier

    Mwanajeshi aliyemuua Osama amlaumu Biden juu ya hali ya Afghanistan

    akili ya kawaida unatoa kwanza raia wa marekanj na silaha za marekani ndio jeshi linaondoka ila huyu mluga luga katoa kwanza jeshi sijui alitegemea nini. kuna mjeshi wa navy seals aliemuaa osama kamchana Biden juu ya huu upuuzi, silaha za zaidi ya trilioni 180 zimeachwa huko,saizi taliban...
  9. S

    Taarifa ya kupotea kwa ndugu Fakhru Issa Abeid (maarufu Osama)

    TAARIFA YA KUPOTEA KWA NDUGU FAKHRU ISSA ABEID (MAARUFU OSAMA) TAARIFA KWA KUPOTEA NDUGU FAKHRU ISSA ABEID WA DAR ES SALAAM (AL MAARUFU OSAMA) BWANA FAKHRU ALIYEPOTEA KATIKA MAZINGIRA TATANISHI MAENEO YA VIGWAZA TSN PETRO STATION KITUO CHAKE CHA KAZI , SIKU YA ALKHAMIS 04/06/2020 MAJIRA YA SAA...
  10. Corticopontine

    Marekani iliwashitaki wapi Osama Bin Laden, Saddam Hussein? Kwanini Umoja wa Ulaya ulimuua Gadafi kama mnyama? Nani aliwawekea vikwazo?

    Hawa wanajiita Wanademokrasia ndio waliwaua Sadam, Osama na Abubakar Waliwashitaki Mahakama gani? Kwanini Umoja wa Ulaya ulimuua Gadafi kama mnyama? Nani aliwawekea vikwazo?
  11. Salim A. Msangi

    Kifo cha Al Baghdad - De javu

    Alianza Bush, alipohitaji kura za wananchi wake, aliwajia na hadithi za Saddam kuhusika na 9/11, akaunda zengwe la maana na mwishowe akaivamia Iraq ilia pate pa kuponea, kilichofuatia ni historia. Rais George W. Bush akilianzisha Staili hii akaja nayo kijana mtanashati, Obama...
Back
Top Bottom