Osamu Suzuki 鈴木 修 (né Matsuda; January 30, 1930 – December 25, 2024) was a Japanese businessman and the chairman of Suzuki Motor Corporation. He had been either president, chairman, or CEO of the company since 1978. In February 2021, the company announced that Suzuki would retire in June 2021 and become an adviser.
Mfanyabiashara mkongwe wa Japan na Mwenyekiti wa zamani wa kampuni ya Magari ya Suzuki Motor Bw. Osamu Suzuki (94), amefariki dunia.
Suzuki aliyeiongoza Kampuni hiyo kwa zaidi ya miaka 40 alifariki Disemba 25, baada ya kuugua ugonjwa wa Saratani.
Atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.