oscar kambona

Oscar Salathiel Kambona (1925-1997) was the first Minister of Foreign Affairs of Tanganyika. He was the second-most influential and most popular leader in the country after President Julius Nyerere.
Kambona was born on 13 August 15 on the shores of Lake Nyasa in a small village called Kwambe near Mbamba Bay in the district of Nyasa near Songea in Ruvuma region southern Tanganyika. He died in London in November 1997.
He was the son of the Reverend David Kambona and Miriam Kambona. Reverend David Kambona belonged to the first group of African priests to be ordained into the Anglican Church of Tanganyika.
Kambona received his primary school education at home under a mango tree in his home village. The tree still stands today. He was taught by his parents and by an uncle, all of whom were teachers.
He was then sent to St. Barnabas Middle School in Liuli in southern Tanganyika not far from his home. He also attended Alliance Secondary School in Dodoma in central Tanganyika.
A British Anglican bishop paid Oscar Kambona's school fees because his father could not afford to do so. The school fees were 30 Pounds per year. Kambona is reported to have said he convinced the Anglican bishop to pay his school fees by reciting the Lord's Prayer in English.
He was then selected to attend Tabora Boys’ Senior Government School where he first met Julius Nyerere who was already teaching at St. Mary's, a Catholic school in the town of Tabora.

View More On Wikipedia.org
  1. AnyWayZ

    Ndoto: Mwl. Nyerere dhidi ya Oscar Kambona usiku wa leo

    Habarini wakuu... Wanasema ndoto ni maono ya uzoefu wa maisha ya kila siku, sikuwepo enzi za hawa Wanasiasa ila historia imenijuza machache. Sasa leo nimeota ndoto fupi ila ilionionyesha uhalisia wa uhasama aliokua nao Mwalim JK Nyerere dhidi ya Oscar Kambona. Ndoto inaanza Oscar Kambona...
  2. Mohamed Said

    Mkasa wa Oscar Kambona

    Oscar Kambona. Kuna wakati ukitaka kumwangamiza mtu basi muhusishe na Kambona. Hii ilikuwa baada ya Kambona kukimbilia Uingereza kufafuta hifadhi. Namweleza Oscar Kambona: MASAHIHISHO Katika video nasema Mwalimu Nyerere aliondoka Dar es Salaam kwenda Butiama baada ya kuundwa kwa TANU. Ulimi...
  3. Mganguzi

    Hussein Mohamed bashe na ubongo wa Oscar kambona mtu mtata! Mbishi anayejiamini kupita kiasi

    Huyu ndio Hussein bashe ,akilitaka lake lazima liwe! Na asipolitaka lako halitakuwa ,huyu ndio bashe! Anapenda kutunisha misuli hata mahali pasipohitaji misuli ,kiongozi asiyetaka kuhojiwa na yeyote isipokuwa rais na makamu wa rais . kwa maana hiyo hata waliompigia kura hawana ubavu wa kumhoji...
  4. Mto Songwe

    R.I.P Oscar Kambona, Bibi Titi Mohammed ule upuuzi bado unaendelezwa

    Ule upuuzi wa mchonga ulio wafanya mkimbie nchi yenu mliozaliwa na kukimbilia mataifa ya nje bado upo hauja koma. Upuuzi alio asisi mchonga meno kwa wale walio mpinga na kupinga ideas zake kwa kupachikiwa kesi za kijinga kijinga za uhaini bado unaendelezwa. Hii nchi ni ya wote sio mtawala...
  5. Mohamed Said

    Oscar Kambona

    Historia ya Oscar Kambona:
  6. J

    Leo ni kama siku tuliyompokea Mwanamageuzi Oscar Kambona kutoka Uhamishoni Uingereza!

    Hamasa ninayoishuhudia leo inanikumbusha siku tuliyompokea Mwanamageuzi Oscar Kambona kutoka Uhamishoni Uingereza. Kiukweli Bila kujali itikadi ya vyama wananchi kwa maelfu walifurika kumlaki. Hata leo naona Watu wameweka itikadi pembeni labda tu Sukuma gang ndio bado wanajishauri. Karibu...
  7. Mohamed Said

    Safari ya Mwisho ya Abdallah Kassim Hanga Kabla ya Safari ya Mwisho

    PICHA YA ABDALLAH KASSIM HANGA AKIBARIZI MSASANI BEACH KWENYE NYUMBA YA OSCAR KAMBONA Hakuna kitabu kilichoeleza historia ya Hanga na Oscar Kambona kwa siku chache Hanga lipokuwa anakaa nyumbani kwa Kambona London kama kitabu cha Dr. Harith Ghassany, ‘’Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru.’’ Hanga...
  8. Olaigwanani lang

    Historia fupi ya Oscar Kambona

    HISTORIA FUPI YA OSCAR KAMBONA Marehemu Oscar Kambona alizaliwa mwaka 1925 katika kijiji cha Kwambe kilichopo mwambao mwa ziwa Nyasa, karibu na Mbamba-bay, wilaya ya Mbinga, Mkoa wa Ruvuma. Alikuwa mtoto wa marehemu Rev. David Kambona na Bibi Miriam Kambona. Rev. Kambona alikuwa ni miongoni...
  9. L

    Nyumba ya Oscar Kambona sasa ni Feza Primary. Nini kimetokea?

    Wazoefu wa mitaa ya Mikocheni, kwa Nyerere, kwa Mwinyi, kwa Warioba haya ni majina ya vituo vya daladala. Lakini pia Kuna nyumba ya Oscar Kambona mitaa hiyo ila kwa sasa naona imekuwa shule ya msingi Feza. Nini kilitokea? Iliuzwa? Je Kambona hakuacha familia? Mke na watoto wake wako wapi? Baba...
  10. H

    Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Tangu nipo shule ya msingi tulikuwa tunaaminishwa kwamba Mwl Nyerere ndio "icon" pekee hapa nchini, tulikuwa tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kuwa kuna watu wengine ambao bila wao mwalimu "asingetoboa" na pengine tusingemjua kabisa mwalimu Nyerere, au story yake...
Back
Top Bottom