Oscar Leonard Carl Pistorius (; Afrikaans: [pisˈtɔrjus]; born 22 November 1986) is a South African former professional sprinter who was convicted of murder in 2015. He was born missing the outside of both feet and both fibulae. Both of his feet were amputated when he was 11 months old due to this congenital defect. Pistorius ran in both non-disabled sprint events and in sprint events for below-knee amputees. He was the tenth athlete to compete at both the Paralympic Games and Olympic Games.
After becoming a Paralympic champion, Pistorius attempted to enter non-disabled international competitions, over persistent objections by the International Association of Athletics Federations (IAAF) and arguments that his artificial limbs gave an unfair advantage. Pistorius prevailed in this legal dispute. At the 2011 World Championships in Athletics, Pistorius was the first amputee to win a non-disabled world track medal. At the 2012 Summer Olympic Games, Pistorius was the first double-leg amputee participant.
On 14 February 2013, Pistorius shot and killed his girlfriend, paralegal and model Reeva Steenkamp, in his Pretoria home. He claimed he had mistaken Steenkamp for an intruder hiding in the bathroom. He was arrested and charged with murder. At his trial the following year, Pistorius was found not guilty of murder, but guilty of culpable homicide. He received a five-year prison sentence for culpable homicide and a concurrent three-year suspended sentence for a separate reckless endangerment conviction.Pistorius was temporarily released on house arrest in 2015 while the case was presented on appeal to a panel at the Supreme Court of Appeal of South Africa, which overturned the culpable homicide verdict and convicted him of murder. In July 2015, Judge Thokozile Masipa extended Pistorius' sentence to six years. On appeal by the state for a longer prison sentence, the Supreme Court of Appeal increased the prison term to 13 years and five months.. His sentence has since been increased to 15 years as of November 2017. Pistorius will be eligible for parole in 2023.
"Kama kweli mmepeleka Basi lenu Bunju, basi hata wale Wahuni wa juzi Uwanjani kwa Mkapa mliwatuma nyie" Oscar Oscar.
Huenda Oscar Oscar nae kausahu ule Uchambuzi kuwa Wapumbavu na Vibaka wengi Kariakoo wanatoka huko huko.
Mtangazaji Oscar Oscar wa kipindi cha Jana na Leo, jioni hii akiwa katika kipindi hiko amesema Tabora Utd itabeba alama zote 3 dhidi ya Simba pale katika dimba la Ali Hassan Mwinyi.
Soma Pia RC Chacha aahidi milioni 50 kwa Tabora United ikiilaza Simba SC
Yapi maoni yako?
Wakuu
Wimbo wanaoimba CHADEMA hivi sasa ni "No Reform, No Election", wakishinikiza mabadiliko ya Katiba pamoja na Sheria za Uchaguzi kabla ya Oktoba 2025, hoja ambayo CCM wanaipiga dana dana.
Soma: Lissu amjibu Wasira. Asema Uchaguzi Mkuu usogezwe mbele kupata Katiba Mpya, vinginevyo watazuia...
Baada ya Singida Black Stars kuwa na mwanzo mzuri katika NBC PL, mpiga porojo kutokea Wasafi Media, Oscar Oscar ameipa nafasi timu hiyo kutwaa ubingwa wa NBC PL mbele ya Yanga, Simba na Azam.
Jumapili hii taarifa za kukamatwa kwa viongozi wa CHADEMA akiwepo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, Makamu mwenyekiti Tundu Lissu na viongozi wengine zilitangazwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari.Taarifa rasmi ya msemaji wa CHADEMA ilieleza pia.
Hii Siyo Mara ya kwanza, kwa viongozi Hawa...
Nimeona Clip moja Oscar Oscar anauliza swali lenye mantiki Sana.
Ingawa sikuona muendelezo wake kama alijibiwa swali Hilo, lakini mantiki ya swali lenyewe imenifikirisha Sana.
Hapa JF ni "Home of Great thinkers" naona mnaweza kunisaidia kujua kati ya CCM na Jeshi la Polisi Tanzania ni nani...
"Nimetizama Matamasha yote ila naomba tu niseme kuwa Simba Sports Club ni NEXT LEVEL kwa Matamasha Tanzania" amesema Oscar Oscar Mchambuzi Nguli wa Michezo nchini ambaye pia ni Shabiki wa Yanga SC ya Tanzania.
Imeisha hiyo. Kudadadeki.
Soma pia: Ufafanuzi! Ngao ya jamii kwanini Simba na Yanga...
Inapotokea mfanyakazi wa taasisi fulani amefanya kosa mbele za umma na akaonywa mbele za umma pia, tunatarajia taasisi anayofanyia kazi kuwajibika, kwanza kwa kukubali kuwa kosa limefanywa, kuomba radhi kwa umma, na kuchukua hatua za kinidhamu kama kanuni za maadili zinavyowaelekeza kulingana na...
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimekemea Vitendo vya Udhalilishaji vinavyofanywa na Mwanahabari Oscar Oscar kupitia habari picha za mzaha (Memes) anazozisambaza Mitandaoni
LHRC imenukuu Ibara ya 12 ya Katiba ya Tanzania inayolinda heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa Utu wa Mtu na...
Simba leo wameujaza uwanja ile Mbaya, wasanii wamepiga Shoo kibabe sana, Alikiba ndio kabisaaa.
Hii imeonyesha maana halisi ya Tamasha kubwa la Simba Day. Lakini wakati yote yakiendelea kutokana na namna Simba walivyojaa Kwa mkapa, kwa namna walivyo na shauku ya Mnyama kufanya makubwa katika...
Nimejaribu kuwasikiliza hawa ndugu ukweli ni kwamba ni kama hawawezi kabisa kufanya kipindi pamoja kwani wana tofauti kubwa sana za kimitazamo na kimisimamo mmoja anajenga hoja kwa kutumia argument za kisomi na mwingine anajenga hoja akitegemea argument za kisela.
Mwajiri wao atafakari upya ili...
SIJAMUELEWA kocha wa Taifa Stars. Sijamuelewa kabisa Adel Amrouche. Nimeshangaa sana kuona timu yetu ya Taifa ‘Taifa Stars’ inaitwa bila kuwa na majina ya Mohammed Hussein, Aboubakary Salum na Shomary Kapombe. Kwenye kizazi hiki Kapombe na Mohammed ndiyo mabeki wetu waliocheza michuano mikubwa...
Wakuu nini kilichopelekea mchambuzi mahiri wa soka, Oscar Oscar kutimuliwa kwenye kipindi cha michezo cha E FM na kupelekwa vipindi vya wanawake vinavyozungumzia umbea?
Maana sasa hivi anatangaza kipindi kimoja na Dina Marios!
Oscar Oscar amekuwa ni mtu wa kupost vichekesho kwenye page yake lakini kwa hapa amedhamiria. Hakuna vichekesho, kuna ujumbe anaufikisha sehemu. Na hii sio kawaida yake, je nani amemtuma Oscar Oscar? Je, ni kweli kuna figisu Yanga anafanyiwa? Kama kweli leteni ushahidi
Imeandikwa na @maulidkitenge -
@oscaroscarjr ni moja ya wachambuzi waandamizi ambao wamekuwa nasi kwenye Sports HQ kwa miaka 7. Sisi tunamshukuru kwa uchambuzi wa kina, vituko, maoni na yote aliyofanya kwenye kipindi hicho. Tunamtakia kila lenye kheri kwenye majukumu yake mapya.
Chanzo: Dar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.