Kwa msiofahamu hapa Zanzibar bar hazijatapakaa mitaani kama huko bara. Vileo vinauzwa kwenye kambi za jeshi na kwenye mesi za polisi. Mitaani hutaona bia.
Huku Zanzibar hakuna pahala wanaouza kitimoto. Na pia hakuna guest house.
Sasa basi, wakati huko bara, asilimia kubwa ya appointments huwa...
AFTER SEX WHAT NEXT.
It's possible for any man to ask for sex in a relationship, but is left for you as a lady to know that sex, can't keep him..(Sex isn't enough)
There's a two major factors ladies complain about sex in a relationship:
(1) After giving him my body he left me..
(2)He left...
Ni bia pendwa kwa sasa. Out of nowhere yule mpinzani mkuu anapotea .
Ingia pub yeyote... Whatever bar Kilimanharo trends...
Thread!
What's ur feeling!??
Mkuu wa chuo, Mizengo Pinda, Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Elifas Tozo Bisanda, Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Prof. Joseph Kuzilwa, heshima yenu wakubwa.
Prof. Elifas Tozo Bisanda, Professor of Mechanical Engineering. Mbobezi katika renewable energy. Tafiti kuhusu...
Wakuu habari
Leo asubuhi nimekuta notification kwamba namba yangu imewekwa nje ya whatsap (log out)
Nilipoifungua nikakuta ujumbe namba yangu hairuhusiwi kutumia whatsap.
Nashangaa tatizo ni nini?
Sijawahi kutumia versions zingine za whatsap kama GB au Yo.
Kuna watu wamenireport vibaya ama?
Too...
HAKUNA KUINGIA UWANJANI. Timu bila kocha, CADENA out. Kaua makipa wa Azam, kaua kiwango cha Ally Salum. Kafarakanisha timu, Anaitaka timu. Kama Mo kagoma dili la kipa basi MGUNDA in.
Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho).
Vilevile tumefikia makubaliano ya kusitisha mkataba wa kocha wa viungo Corneille Hategekimana.
Uongozi wa Klabu ya Simba unawashukuru...
Habari,
Naomba mwenye kujua course ya foundation kiundani anisaidie maana naona juhudi zangu zinafikia mwisho maana nilimaliza chuo mwaka 2016. Ninapotarajia kwenda kujiendeleza, niliomba AVN nikajikuta nina gpa ya 2.9.
Mwenye kuijua foundation course aniambie ili nijue najipangaje,
Hello JF,
Nitoe angalizo na kuwakumbusha viongozi au wenye mamlaka, acheni kulalamika au kuaibisha mamlaka zenu au nafasi mlizonazo, fanyeni kazi, nchi hii ina heshima kubwa epukeni kuaibisha nchi.
Mnaowateua hawaombi kazi sasa iweje uropoke maneno ya aibu kwa taifa, libebe mwenyewe kifuani...
Siku tatu kabla ya kilele cha Simba Day tiketi zote 60,000 zinazojaza Uwanja wa Benjamin Mkapa zilikuwa zimeuzwa (Sold Out).
Hii ni mara ya kwanza kwa Uwanja wa Benjamin Mkapa kujaa siku tatu kabla ya tukio na Simba ndio imeweka historia.
Tiketi za Platnum ziliisha siku moja baada ya kutangazwa...
Hii ni kwa ajili yako mtoto mzuri Joannah ,Kiukweli wewe ni mwanamke uliyeko moyoni mwangu,kuanzia huo unywele wako mrefu,lips,kiuno hadi guu la byeeeri.
Nimeandaa fungu zito kwa ajili yako mrembo na mtoko huu utakuwa ni kwa wiki nzima na kwakuwa ni mtoko mfupi basi tutaelekea pale hifadhi ya...
Salaam....
Ni vijana wengi sana wamepanga lakini wanakaa vijistoo yaani wanashindwa kupanga vyumba vya hadhi yao au nyumba nzima.
Kwa mimi binafsi yangu napendekeza kijana atoke kukaa kwenye chumba kimoja kwani atachelewa sana kwenye mafanikio na fikira za kimaisha.
Wewe ni Graduate au...
After barely surviving his previous mission, Tyler Rake retires from mercenary work to a cabin in Austria, where he is approached by a stranger and asked to rescue his ex-wife Mia's sister Ketevan and her two children Sandro and Nina. They are currently imprisoned along with Ketevan's gangster...
Binafsi, je naenda kukutana na nani?
Hilò ndio swali namba 1. Swali namba mbili huwa je anajua nini kwenye mitindo na fashion?
Basi napenda vitu unique, yaani niwe wa kipekee ndio maana nagharamìa.
Hii ndio saa yangu. Usiulize gharama . Nguruwe hawajuagi madini etii!!!!!!
Baada ya Adidas kusitisha kufanya kazi na yeezy inayomilikiwa na mkali wa miondoko ya Hiphop Kanye West, Ina ripotiwa Adidas wamepoteza takribani USD million 540.
Sasa basi Kanye West kaamua kufanya kazi za masuala ya fashion kivyake vyake. Siku chache zilizopita ametoa new outfit tofauti...
Najua hapo zamani lugha zilikuwa zinapiga chenga na hata wanaotafisir nao saa nyingine wanaongeza chumvi kwa lugha kupiga chenga, hapa kuna subtitles kabisa zenye tafsiri sahihi.
Kila siku ntakuwa naweka kipengere hadi imalizike.
ITAENDELEA!!