An oven is a thermally insulated chamber used for the heating, baking, or drying of a substance, and most commonly used for cooking. Kilns and furnaces are special-purpose ovens used in pottery and metalworking, respectively.
Habari wanaJF,
Nimekuja kwenu na ombi. Kama kuna mfanyabiashara wa OVEN hapa naomba tuonane. Cha msingi, nahitaji kukitumia kanisani. Iweze kutumia gesi na umeme. Plate 2 au 3. Naomba uniandikie. Whatsapp ni 0748707707
Hili jiko limeboreshwa, wengi walioishi kwenye nyumba za serikali alizoacha mkoloni walikutana na majiko ya aina hii. Yale ya enzi zile haya kuş na sehemu ya umeme.
Enzi zile waliotumia majiko haya, walitumia matawi ya miti kama nüshayı. Enzi zile nchi ilikua bado na miti mingi sana...
Customer service au huduma kwa mteja ni sehemu nyeti sana ya biashara yoyote duniani, ni kioo cha mwanzo cha biashara iwe inafanya kuuza bidhaa au kutoa huduma. Kuna baadhi ya makampuni ili wakupatie ajira basi lazma uwe na vigezo kama uso usio na chunusi, uso nyororo na mwenye umbo namba nane...
Kama kichwa kinavyo jieleza.
Westpoint Oven lita 63 inahitajika Dar es Salaam.
Kama unayo dukani kwako taja bei yako na location ya duka lako bila kusahau mawasiliano yako.
Wakuu,
Ni kifaa kipi kati ya hivyo kinafaa kwa kuchoma nyama, kuchoma kuku mzima, kukaanga chips na kupasha chakula?
Nahitaji kifaa kimoja cha kufanya kazi hizo zote kwa ubora mzuri, nichukue kipi?
Wakuu salamu kwenu, Heri ya mwaka mpya 2024.
Sasa wakuu, nahitaji kununua oven kwa ajiili ya matumizi ya familia ya watu 6-8.
Ni oven kampuni gani nzuri itanifaa na za ujazo wa litre ngapi?
Habari.
Kwa yeyote anaeuza au anajua wapi naweza pata oven inayotumia gesi yenye uwezo wa kubeba mikate 90 ile tunayosema gram 500.
Note: iwe used.
Iwe Dar Pwani au Morogoro
Call/Whatsapp 0652494919
source:These Diseases Are All Caused By Microwave Ovens, And You’ve Probably Ignored Them!
We in general in all love microwaving. It's a remarkable, clear and beneficial cooking elective for all people. The microwave has been conspicuous in the US for north of 30 years, generally changing...
Maoven yanaouzika sana Dsm sasa yamepungua bei
Bei-155,000Tsh tu
*Linatumia umeme kiduchu
*Linaoka mikate,cake na choma kuku na vinginevyo
*Pia unaweza ukapasha chakula chako
*Lina ujazo wa 48L pia ni rahisi kulitumia
Call/Whatsapp 0753038470
Tupo kkoo mtaa wa ndanda
Nunua leo
Hii imenitokea leo, na adha niliyoipata Mungu tu anajua.
Ni maumivu ya tumbo la kuhara lililodumu kwa muda mrefu, na nashukuru kupata huduma ya choo mahali naikawa mkombozi ili nisiadhirike.
Nikiwa na njaa mchana wa leo na nikaamua kupata bites pale Royal Oven Mlalakuwa.
Nikanunua...
Unakosaje Huduma bora na uhakika wahi sasa
Von Hotpoint Cooker - Stainless Steel
Price Tshs 650,000/=
#Product Features
. 3 Gas Burner and 1 Electric Cooker
[emoji830]Electric oven and grill
[emoji830]Push Button Ignition
[emoji830]Mechanical Timer
[emoji830]Thermostat
[emoji830]Oven Lamp...
Machine mpya kabisa kwa ajili ya kukatia nyama,samaki na mifupa
Ni imara na haikati misumeno
Ina watts 550
Ina sehemu ya kusagia nyama
Ina warranty mwaka mmoja
Bei 1,350,000 tu
Tunapatikana kariakoo ndanda st
Tunadeliver free kwa dar pia.
Call/text/WhatsApp 0656666662.
Ni ya vanilla na maziwa nimeipika kwa gesi tu.
Nimetumia
Unga:250g
Sukari (icing suga):200g
Mayai:5
Maziwa:vijiko vitatu vya chai
Vanilla:kifuniko kimoja
Butter:250g
Baking powder:2teaspoon
Ukianza kumix kama huna mashine ya kumixia tumia ya mkono ila koroga kweli kweli na haraka haraka...
Call/whatsapp 0788622610
Offer offer bei 195,000 tu
Oven mpya ya umeme ya kisasa
Ina plates 2 juu za kupikia chochote
Ina ujazo lita 48
Ina grill pamoja na kuchoma mikate, cake, nyama, kuku etc
Ina timer
Ina warranty mwaka mmoja
Location: DSM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.