p diddy

Sean Love Combs (born Sean John Combs; November 4, 1969), also known by his stage names Puff Daddy, Puffy, P. Diddy, or Diddy, is an American rapper, record producer, record executive and actor. Born in Harlem, Combs worked as a talent director at Uptown Records before founding his own record label, Bad Boy Records, in 1993. Combs has produced and cultivated artists such as the Notorious B.I.G., Mary J. Blige, and Usher.
Combs' debut album, No Way Out (1997), has been certified seven times platinum. The album was followed up with Forever (1999), The Saga Continues... (2001), and Press Play (2006). In 2009, Combs formed the musical group Diddy – Dirty Money with singers Kalenna Harper and Dawn Richard; they released their collaborative album Last Train to Paris. In September 2023, Combs released his fifth studio album, The Love Album: Off the Grid.
Combs has won three Grammy Awards and two MTV Video Music Awards and is the producer of MTV's Making the Band. In 1998, Combs founded the clothing retailer Sean John. He was nominated for the Council of Fashion Designers of America award for Menswear Designer of the Year in 2000 and won in 2004. He has been the brand ambassador for vodka retailer Cîroc since 2007, and co-founded the television network and news website Revolt in 2013. In 2022, Forbes estimated his net worth at US$1 billion.

View More On Wikipedia.org
  1. Labda "Who Shot Ya" haikuwa kwa ajili ya Pac ila Diddy alifanya kosa ku-release wimbo mapema baada ya Pac kupigwa risasi akijua italeta mtafaruku

    Baada ya miaka mingi ndio sasa tunaanza kumuelewa Diddy na janja janja zake. Wakati wanajua namna pac alivyokuwa analalamika kwa kuwaanganisha bad boys na tukio lake kupigwa ila bado waka toa wimbo wenye maudhui ya violence. Diddy alitaka apate attention zaidi kwa maswahibu ya Pac bila kujua...
  2. W

    P Diddy aliwasainisha Wageni waliokuwa wakihudhuria Sherehe zake Mkataba wa Faragha

    Fahamu Masharti ya Kudumu ya Mkataba wa Faragha wa waalikwa katika Sherehe za P Diddy Mhusika hapaswi kusema yatakayotokea katika sherehe hizo hadi kifo cha P Diddy na miaka 20 zaidi baada ya kifo, huku Mkataba huu ukiwa na Wastani wa muda wa takriban Miaka 70 kwa mhusika. Mkataba huu pia...
  3. P DIDDY: From mansion to cubbyhole (kutoka kwenye bangaloo hadi kwenye kinyampasila)

    KUANZIA muvi ya “Straight Outta Campton” hadi andiko la kitaaluma (dissertation) la Kristen Bowen, Chuo Kikuu cha North Carolina. Documentaries za “In The Dark”, “Surviving Diddy” kisha “Freak Off Parties”. Halafu kitabu “Mercedes Ladies” cha Sherri Sher. Kila moja inatosha kujenga picha ya...
  4. P. Diddy parties explained!

    Nimeona hii thread niianzishie huku kwa sababu, Diddy alikutwa na mafuta, tofauti na hapo hii mada ilitakiwa niiposti jukwaa la intelligence. Msikilize huyu mshua alivyozichambua shutuma za Diddy. Jamani ndugu zanguni, tujitahidi tupate utajiri mapema, zama zijazo maisha yatakua magumu sana...
  5. K

    Mama P Diddy ailipukia dunia, adai ni waongo wakubwa wanataka tu pesa za mwanae

    Mama mzazi wa #Diddy, Janice Combs amevunja ukimya matatizo yanayomkabili mtoto wake akisema hana hatia sababu Diddy hajafikia hatua ya kufanya unyama huo kwa watu wanaomtuhumu. Mama Diddy amemtetea mwanae kupitia barua ya wazi inayoeleza yanayoendelea kwa Diddy ni uongo na uchochezi kwa...
  6. P Diddy ni kama alijua kitakachotokea

    "P DIDDY" ni kama alijua kitakacho tokea. Mali zote ziliandikwa kwa jina la #mama yake hakuna mali yake iliyo kwenye jina lake. Mali zote ziko katika jina la mama yake na mtoto wake, hata wamshitaki mpaka ufalme wake uanguke hakuna mtu atakayepata senti kutoka kwake. Utajiri wake wa kizazi...
  7. Unahisi kwanini P Diddy ametaja hayo majina yote hapo? Ukweli ni huu

    https://www.facebook.com/share/v/wXRUZzMo624yBNyF/?mibextid=Mk4v2M Majamaa waliingia nyumbani kwa Diddy na wakachukua kila kitu, ikiwemo hard disk za kamera za siri ambazo Diddy alikuwa ameweka kwa ajili ya kurekodi kila kitu kilichokuwa kinaendelea. Kamera za siri? Yaani alikuwa anarekodi...
  8. P Diddy hana wateja wake Tanzania?

    Mwanamuziki wa Marekani, P Diddy amekumbwa na makosa mengi ya uhalifu dhidi ya binadamu ikiwemo sexual trafficking. Aliwasaidia baadhi ya watu kwa yeye kujifaidisha kwanza. Tuna watu hapa Tanzania ambao wameibuka kiuchumi from no where ambao huenda wamepitia magumu ya P Diddy na wenzake wa aina...
  9. Baada ya picha zake na P Diddy kuvuja mtandaoni, team ya Leonardo DiCaprio yamkana P Diddy hadharani!

    Mwigizaji kutokea nchini Marekani, Leonardo DiCaprio ameamua kujitenga na kujiweka mbali na na Sean 'Diddy' Combs kufuatia kuibuka kwa picha inayoonyesha yeye akiwa kwenye moja ya sherehe maarufu za "white party" zilizokuwa zinaandaliwa na P Diddy. Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na mwigizaji...
  10. P Diddy ana ajenda nyuma ya pazia

    P Diddy amebeba Ajenda kubwa kwa ajili ya kupromote LGBTQ Community. Hivyo kwa mnaotegemea anaenda kuozea Jela mtasubiri sana. Jamaa ataachiwa huru na kila mmoja atashangaa. Huu uzi ubaki kama ukumbusho. Na atakapoachiwa Itaongeza nguvu kwa watu wa upunde waonekane kana kwamba hawana hatia...
  11. Hii ni ibada ambayo hufanyika kwenye party za P Diddy

    Muda mfupi uliopita zimesambaa picha na video kuhusu yaliyokuwa yanafanyika huko kwenye party za P Diddy! Yaani kuna ibada na sala zilizokuwa zinafanyika, mazingira ya hizo ibada ndiyo utata! Siyo mbaya coz kwenye utajiri wowote kuna siri nzito! Yeye mwenyewe wanasema wanataka kumuuwa! Ni kina...
  12. Kesi ya P Diddy ni ndogo sana,wazungu hawana tatizo na mapenzi ya jinsia moja

    Ni endapo itadhihirika kuwa aliwaingilia watoto under 18, Vinginevyo P Diddy kesi yake ni ndogo sana Majimbo mengi ya USA yameruhusu ushonga. Wengi wanaohisiwa kupakwa mafuta ni wababa watu wazima ambao huenda walifurahia tendo na hawakulazimishwa.. Wazungu wanajua kutetea haki za ; 1...
  13. Babu Tale: P Diddy alituita chumbani kwake tukaangalie runinga, Swizz Beatz akatukataza na tukaondoka bila kuaga

    Akihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake. Mojawapo ya tukio la ajabu ni...
  14. Sakata la Diddy limeonesha wengi wanachukia masuala ya ushoga

    Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Sakata hili limerahisisha Sana kujua kuwa hata mashoga waliopo Duniani hawapendi kuwa vile walivyo isipokuwa kûna Ñguvu ya ziada zinawalazimisha kufanya Yale wanayoyafanya. Mataifa Makubwa na Watu wengi wa Ulimwengu wa Kwanza wamekuwa Mstari wa mbele Kúpigania...
  15. Tuhuma za P-Diddy: Diamond Platnumz alifanywa nini na P-Diddy ambacho anaona aibu kusema mbele ya kamera?

    Kwa Tuhuma zinazoendelea za Pdiddy huko marekani na hasa ya kujihusisha na mapenzi ya Jinsia moja na kulazimisha watu kufanya hivyo na hasa kulawiti baadhi ya watu na kingine kuwafanya watu sexual slaves.. Kuna Intervieww aliwahi kuifanya msanii wa Tanzania (Diamond) Akisema walikwenda Kwa...
  16. Wasanii mbambali wanaohusishwa na P-Diddy waanza kutajana na wengine kujitaja

    Orodha ni ndefu sana kuanzia justin bieber mpaka Lil bow wow, Orodha ni ndefu sana,na wameanza kujitaja na kutajana baada ya kugindua mamlaka ina ushahifi wa wapakwa mafuta wote ,
  17. Khloé Kardashian: Kila mtu alikuwa uchi Kwenye Party za P Diddy

    Khloé Kardashian amezungumzia sherehe za Sean “Diddy” Combs kwenye kipande cha episode ya “Keeping Up With the Kardashians” kilichoibuliwa baada ya msanii huyo kukamatwa kwa tuhuma za usafirishaji wa watu kwa ajili ya kuwatumikisha kingono. Mwanamitindo huyo, mwenye umri wa miaka 40...
  18. W

    P Diddy Anyang'anywa Mwaliko wa MET GALA 2024

    Rapa Na Mfanyabiashara kutoka Marekani Sean “Diddy” Anadaiwa kuwa hatopokea Mualiko Wa kuhudhuria katika Onesho Kubwa La Mavazi Na Mitindo linalofahamika Kama "Met Gala" Taarifa hizi ni baada ya rapa huyo kuwa na tuhuma za unyanyasaji wa kingono na tuhuma uuzaji wa madawa ya kulevya dhidi yake...
  19. P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

    P Diddy namkubali sana, ndiyo mwanamuziki ninayemkubali duniani since miaka ya 90 huko alivyokuwa anapiga kazi na Mase. Ila jamaa nyuma ya kamera ni mafia kupita kawaida. Unaambiwa ni Mafia kuliko hata unavyofikiria. Alisimamia mchongo mzima wa kumuondia Tupac, watu wakaenda mbali na kusema...
  20. Rapa Sean 'Diddy' Combs anatuhumiwa kwa ubakaji katika kesi mpya

    P. Diddy amekumbwa na kesi nyingine ya unyanyasaji wa kingono. Nguli huyo ameshtakiwa katika Mahakama Kuu ya Manhattan akidaiwa kumnyanyasa kingono mwanamke ambaye alimnywesha dawa za kulevya mnamo mwaka wa 1991 katika mojawapo ya kesi zilizofunguliwa chini ya Sheria ya Watu Wazima...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…