Simba mpeni ukocha mkuu Juma Mgunda, timu yetu ya Simba siyo timu ya kufanya majaribio ya kuajiri kocha ambaye hajawi kuwa kocha mkuu wa timu yeyote.
Fadlu David's amekuwa kocha msaidizi wa kocha aliyeondoka wa singida black star.
Chonde chonde tusifanye makosa hayo.