padre elipidius rwegoshora

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Upofu wa Padri Kitima unahitaji neema ya Mungu

    1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro. 2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua baa na kamari, ila Padri Charles Kitima haoni kukemea anaona Wamasai Ngorongoro. 3. Padri...
  2. JOHNGERVAS

    Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba limemsimamisha Padre Rwegoshora kufuatia tuhuma za kuhusika mauaji ya Asimwe Novath

    Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba limemsimamisha kutoa huduma za kichungaji Padri, Elipidius Rwegoshora kufuatia tuhuma zinazomkabili za kuhusika katika mauaji ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Asimwe Novart. Askofu wa Jimbo Katoliki Bukoba, Jovitus Mwijage ametangaza uamuzi huo kupitia gazeti la...
  3. U

    Naheshimu Kanisa Katoliki, kwao haiwezekani aliyefeli darasani kuwa Padre!

    Wadau hamjamboni nyote? Nazungumzia Kanisa Katoliki wala silinganishi na Imani nyingine. Kwamba ndani ya mfumo wa Kanisa Katoliki huwezi kuwa mzito darasani kisha ukawa Padre, kupata zero darasani kisha ukawa padre & kuhubiri yaliyo nje ya mfumo wa kanisa. Nasema tena siku zote nitaliheshimu...
  4. D

    Tovuti Rasmi ya Dayosisi ya Bukoba inathibitisha kwamba Elipidius Rwegoshora ni Padre wao

    Tangu jana Kuliporipotiwa Tukio la Paroko msaidizi kuhusika na Tukio la Kutekwa,Kuawa wka Binti Mrembo Asimwe(2) Kumekuwa na hisia tofauti juu ya wahusika hao Hususanai Mhusika wa Kwanza Ambaye ni abab yake pamoja na mtu aliyetajwa kwa jina la aElipidius Rwegoshora ambaye inadaiwa kuwa ni Paroko...
Back
Top Bottom