padre romanus elamu mihali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Inside10

    Papa Francis amteua Padre Romanus Elamu Mihali wa Jimbo la Mafinga, kuwa Askofu mpya wa Jimbo la Iringa

    Baba Mtakatifu Fransisko ameridhia ombi la kustaafu Mhashamu Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa wa Jimbo la Iringa, na kumteua Padre Romanus Elamu Mihali wa Jimbo la Mafinga, kuwa Askofu mpya wa Jimbo la Iringa, leo tarehe 28/01/2025. Mhashamu Askofu Mteule Romanus Elamu Mihali, alizaliwa tarehe...
Back
Top Bottom