pafyumu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Pafyumu za kupima

    Naulizia chimbo la kuuza pafyum za kwa kariakoo na vile vichupa vidogo vidogo vinakopatikana
  2. N

    Msemaji wa Yanga adaiwa kutapeli Tsh. Milioni 83 za pafyumu

    Nimeleta huu uzi kama tetesi za zilipotokea pia, maana mtu mwenyewe anayehusika hapa hachelewi kulialia na ku play victim Kutoka ukurasa wa jamaa anyejiita Chaz lee huko facebook
  3. Valencia_UPV

    Pafyumu za kupima-Utajiri nje nje!

    Ukitaka kuwa na pesa za chap chap! Basi Anza hii biashara ya kuuza pafyumu za kupima. Mzigo unaagiza kiwandani Babati, Manyara pipa 60,000 TZS+usafiri 50,000/= kutoka Babati-Dar es Salaam, gharama za chupa @5,000 faida wastani wa 1.6m mpaka 2.5m TZS kwa kila pipa. Upewe nini Tena?
  4. blogger

    Hivi kwanini upulizie pafyumu nyingi hadi ukiwa umbali wa mita 100 wengine waisikie?

    Tuache ushamba aisee. Puliza pafyumu au body spray inayokufaa wewe wewe peke yako within your own perimeters aisee. Inakera sana. Uzi tayari.
  5. N

    Foundation na pafyum alizozindua Manara zipo wapi?

    Mo Foundation ikiwekwa kwenye jezi full kulalamika kumbe na wewe ulizindua ya kwako iko wapi sasa? Na pafyumu ulizowadhulumu wahusika milioni 37 ziko wapi? VIDEO: HAJI MANARA AFUNGUKA JINGINE KUHUSIANA NA SIMBA Ofisa habari wa klabu ya Simba, Haji Manara, amefanya uzinduzi wa pafyumu yake...
  6. Itzmusacmb

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Hebu tujuzane hapa aina ya Perfume au Body spray unayotumia! Mimi natumia Knowledge Perfume, wewe je?
Back
Top Bottom