Nimeleta huu uzi kama tetesi za zilipotokea pia, maana mtu mwenyewe anayehusika hapa hachelewi kulialia na ku play victim
Kutoka ukurasa wa jamaa anyejiita Chaz lee huko facebook
Ukitaka kuwa na pesa za chap chap! Basi Anza hii biashara ya kuuza pafyumu za kupima. Mzigo unaagiza kiwandani Babati, Manyara pipa 60,000 TZS+usafiri 50,000/= kutoka Babati-Dar es Salaam, gharama za chupa @5,000 faida wastani wa 1.6m mpaka 2.5m TZS kwa kila pipa. Upewe nini Tena?
Mo Foundation ikiwekwa kwenye jezi full kulalamika kumbe na wewe ulizindua ya kwako iko wapi sasa? Na pafyumu ulizowadhulumu wahusika milioni 37 ziko wapi?
VIDEO: HAJI MANARA AFUNGUKA JINGINE KUHUSIANA NA SIMBA
Ofisa habari wa klabu ya Simba, Haji Manara, amefanya uzinduzi wa pafyumu yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.