Wakuu waTume wamejiuzulu na kukiri wizi wa kura ,wakisadikisha kupora kura sahihi za wapiga kura 70000 za mgombea Uraisi Imran ambae hata hivyo ameibuka kidedea.
Wakuu hao wamesema amri za kubadilisha zilitoka kwa wakuu wa vyombo vya usalama.
Hapa kwetu wanaobadilisha ni hao wakuu wa Tume na...