palagamagamba kabudi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. jingalao

    Waziri Kabudi sasa ni wakati wa kuwakopesha wasanii wa Singeli

    Baada ya kutambua rasmi juhudi zao za kuitangaza Tanzania kimataifa nje ya mfumo rasmi. Wakati umefika kutambua utamaduni huu usioyumbishwa na muda au kebehi za wasiojiamini na kuamini katika singeli/ mchiriku/ mnanda . Wekeni fedha vijana waliojiajiri katika hii entarnmeint industry yenye...
  2. F

    Nafikiri teuzi nyingi hazifanywi kwa umakini, hazina malengo ya muda mrefu na huweza kumvunjia mtu heshima yake au kumvuruga kiutendaji

    Hapa namzungumzia zaidi Professor Palamagamba Kabudi. Huyu nguli wa sheria amekuwa ni mtu wa kuteuliwa na kutenguliwa au kuhamishwa na kurudishwa alikotoka na kuhamishwa tena kwenda kwingineko. Professor aliteuliwa kuwa waziri wa sheria kabla ya kuhamishwa na kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya...
  3. Mindyou

    Rais Samia afanya uteuzi: Masauni aondolewa Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

    Wakuu, TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na mabadiliko ya Viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, uteuzi na mabadiliko ya viongozi hao ni kama...
  4. Nyani Ngabu

    Aliondolewa 2022, karudishwa tena 2024! I’m confused

    Palagamagamba Kabudi aliteuliwa [na Rais Samia] kuwa waziri wa sheria na katiba Aprili 2021. 2022 akaondolewa kutoka kwenye hiyo Wizara. Leo/ jana, huyo Palamagamba Kabudi kateuliwa tena kuwa waziri wa katiba na sheria. Hivi nyie mnamuelewa kweli huyu Rais tuliyenaye? Kama Kabudi aliondolewa...
Back
Top Bottom