PAMBA JIJI FC🆚YOUNG AFRICANS SC
📅28.02.2025 | 🏟️CCM KIRUMBA | ⏱️4:15PM
Karibu kwa update za mchezo wa Leo
Kikosi kinachoanza dhidi ya Pamba Jiji
Mpira umeanza
Dakika ya 1
Mwamnyeto amefanya madhambi
Dakika ya 6
Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 7
Max nzengeli anakosa nafasi ya wazi...