Wakuu za asubuh
Nilikuwa napenda kuwauliza kwa maeneo ya Kariakoo wapi naweza pata FENI kubwa la panga boi la kuliweka sebuleni kampuni ya Panasonic au asha care ikiwezekana hata high class.
Msaada wenu wakuu
Wakuu kwema?
Nimekutana na changamoto kutumia redio iliyopo kwenye gari (ilikuja na gari) aina ya Panasonic Strada kwani hai-respond chochote na inaonekana inatakiwa kuwa na SD card ambayo kwasasa haipo. Je, kuna namna ya kuifanya redio hii ipige kazi fresh?? Ikiwa on inakua na muonekano kama...
Habari wadau.
Deki ipo Dar, faida nyingine ya deki hii ni kwamba inayo amplifaya ndani yake , kwa hiyo unaweza kutumia kama amplifaya na radio kwa wakati mmoja.
Bei : 130,000
Mawasiliano : +255621396850
Ac aina ya panasonic1 horse power inauzwa bei laki tatu na nusu (350000) imetumika miezi mitatu tu ipo kwenye hali nzur sana inapatikana mwananyamala karibu na royal bar rimot yake imepotea ila inapiga kazi vizur.
Mawasiliano
0687102420
0719590756
Panasonic gh5s camera for best video quality.
Uwezo
Shoot 4k up to 60fps
Dual native iso 400 and 1600
Support cinema 4k up 60fps
Shoot 4k 10bit 4:2:2 internaly
Assisting feature kamaFalse color for manual focusingWaveform HistogramBetter colour kuliko gh5
Ukitaka kupata more review check...
Panasonic gh5s bei ya ofa jamani kwa anayeifahamu anajua dhamani yake kama uifahamu tafadhali ingia youtube search "panasonic gh5s review" uone ubora wa hii camera.
Bei 4m (maongezi yapo kidogo kama upo serious kununua tu).
Nicheck 0752527054 or 0629274880 or 0716917896
Panasonic Gh5s with
viltrox speedbooster 0.71x magnification(hii ni speed booster ambayo ina convert ef to mfd plus magnification) tofauti na zile convetor
Ipo na cage yake plus handle
Bei 4.6m*(maongezi kidogo yapo)
Nicheck 0629274880 or 0752527054
Habari zenu wadau wa Jamiiforums, matumaini yangu kuwa hamjambo, wakati tukielekea kuumaliza mwaka 2018 kuingia 2019 na zikiwa zimebaki siku chache, nikaona ni vyema niwatangazie kuwa nauza vitu tajwa hapo juu.
Fridge aina ya PINETECH milango miwili = Tsh420,000(Mazungumzo yapo), Kabati jeusi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.