Kwa siku za hivi karibuni kumeibuka hali ya kizungumkuti katika eneo la Tegeta-Wazo kufuatia eneo lililokuwa la uwanja wa mpira Panga ambalo ni la umma kuchimbwa msingi ikidaiwa kuwa Serikali inajenga Shule.
Wananchi walianza kuingiwa na hofu baada ya kusikika kwa tetesi kuwa huo uwanja...