papai

József "Joci" Pápai (Hungarian: [ˈjot͡si ˈpaːpɒi]; born 22 September 1981) is a Hungarian singer, voice actor, rapper and guitarist of Romani descent. He represented Hungary at the Eurovision Song Contest 2017 with the song "Origo" finishing in 8th place. He represented Hungary again at the Eurovision Song Contest 2019 with the song "Az én apám". However he failed to qualify for the grand final being the first Hungarian entry not to since returning in 2011.

View More On Wikipedia.org
  1. Hypersonic WMD

    Mwenye analima Papai atupe uzoefu wa soko la papai

    Naonaga kama hiki kilimo ni hatar kutokana na kua papai inaharibika haraka . Na pia haina matumizi mengi kama vile juice, au kuliwa mara nyingi ukilinganisha na matunda mengine soko lake likoje,,? Hayaozei shambani kweli
  2. Mkulima na Mfugaji

    Msaada: Soko la papai

    Habari wakulima na Wafugaji Mimi ni mkulima Mdogo wa mazao ya Matunda kama machungwa na passion ila nimejaribu na kilimo cha papai naona kinakuja vizuri. Nimeanza na miche 1000 ya kisasa na inakuja vizuri na imeanza kubeba, nimeanza kupata hofu ya soko maana kawaida ya papai ikikomaa ibatakiwa...
  3. Money Penny

    Penzi lake ni tamu kama papai. Usiniulizwe swali

    Kuna mwana amenogewa na penzi la kipare Anasema ni tamu kama papai Mind you, papai halijawahi kuwa refu Anaomba asiulizwe maswali, utamu huo aje? Umemwelewa lakini?
  4. MTAZAMO

    Askofu Ruwaichi amuunga mkono Rais Ruto kupinga Ushoga hadharani!

    Wakuu, Askofu mkuu Jimbo Katoliki la Dar es Salaam anaongea na waandishi wa habari juu ya Pugu Marathoni lakini pia amegusia swala la maadili ya jamii. Amesema amefurahishwa na kauli dhabiti ya Rais Ruto wa Kenya juu ya kulinda maadili ya nchi hiyo na kupinga hadharani mambo ya ushoga. Lakini...
  5. K

    Soko la papai Dar likoje?

    Jamani, ninaomba kujua biashara ya papai inaendaje kwa Dar hasa kwa mkulima. Nini uzoefu wenu
  6. S

    Tanzania tuliona Corona kwenye kuku na mbuzi tukawawajibisha wafanyakazi Maabara ya Taifa; China wanaona Corona kwenye kuku wanajiuliza wameingiaje!

    Juzi hapa China ilikuta kwamba baadhi ya mifuko ya kuku na kamba ilikutwa ina wadudu wa Corona (Covid-19). KIlichofuata ni kwamba serikali ya China ilianza kujiuliza maswali mengi kuhusu jinsi gani hao wadudu waliingia kwenye kuku na kamba ambavyo viliagizwa kutoka nchi ya Brazil. China...
  7. CUF Habari

    CUF: Tunatarajia Uchaguzi Mkuu utakuwa wa Uhuru na Haki. Yeyote atakayetutikisa tutamwangusha kama papai mtini

    TUNATARAJIA UCHAGUZI MKUU UTAKUWA WA UHURU NA HAKI, YEYOTE ATAKAYETUTIKISA TUTAMWANGUSHA KAMA PAPAI MTINI" KATIBU MKUU CUF HAROUB MOHAMMED SHAMIS Ameyasema hayo katika Mkutano Mkuu Maalum wa kuwachagua wagombea wa Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Urais wa Zanzibar uliyofanyika julai...
  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    Zijue faida mbalimbali za kula papai kiafya

    Papai, tunda lenye ladha nzuri kama sukari, siyo tu ni tamu kulila, lakini ni chanzo kikuu cha virutubisho muhimu vinavyotoa kinga ya mwili dhidi ya magonjwa mbalimbali, yakiwemo yale hatari ambayo huchukua maisha ya watu kila kukicha. Leo soma faida za tunda hili ili ujiepushe na maradhi...
Back
Top Bottom