Kuna taarifa zinasambaa Mtandaoni zikidai kuwa tembe za Paracetamol zenye jina la P-500 siyo salama kwa afya.
Taarifa hii inawataka watu kutukutumia dawa hii kutokana na uwepo wa virusi vya Machupo ambavyo ni hatari kwa afya, vinaua.
Ukweli wa taarifa hii upoje?