paracetamol machupo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. SI KWELI Tembe za Paracetamol (P-500) huwa na Virusi vya Machupo ambavyo ni hatari kwa Afya

    Kuna taarifa zinasambaa Mtandaoni zikidai kuwa tembe za Paracetamol zenye jina la P-500 siyo salama kwa afya. Taarifa hii inawataka watu kutukutumia dawa hii kutokana na uwepo wa virusi vya Machupo ambavyo ni hatari kwa afya, vinaua. Ukweli wa taarifa hii upoje?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…