paramagamba kabudi

  1. DR Mambo Jambo

    Prof. Paramagamba Kabudi: Watapata lini akili hao wapumbavu wanaokataa mabadiliko?

    Nawasalimu Kwa jina la JMT Mwaka 2014, Profesa Palamagamba Kabudi, aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, alisema kuwa kuna watu wawili duniani: wapumbavu na wajinga. Wapumbavu ni wale wanaoshupaa na kutumia ubabe, huku wajinga ni wale wanaokubali ubabe huo. Kauli hiyo iliibua...
  2. Dr Matola PhD

    Mnaoelewa majukumu mapya ya Lukuvi na Paramagamba Kabudi, tujulisheni ufanisi ukoje

    Nawasalimu kwa jina la JMT kazi inaendelea. Sina mengi ningependa tu kufahamu hawa wazee wetu Mzee Kabudi na Mzee Lukuvi majukumu yao mapya ya kuwa viranja wa mawaziri yameleta matokeo chanya? Na je ukitaka kuwapa ushirikiano ofisi zao ziko wapi za ukiranja? Ni hayo tu.😄😄
  3. Roving Journalist

    Majimbo ya Ubunge yaliyosimamisha wagombea wa CCM bila wagombea wa Upinzani

    Wadau mpaka sasa nasikia CCM baadhi ya majimbo imesimamisha wagombea pekee baada ya wagombea wa vyama vingine kutokidhi baadhi ya vigezo. Yaani kabla ya hata ya kitufe kubonyezwa majimbo yafuatayo wapinzani wamenyanyua mikono na CCM wanayachukua. Karibuni tuweke kumbukumbu za clean sheets...
  4. Kaka Pekee

    Marekani: Uhuru wa vyombo vya habari haupimwi kwa idadi ya machapisho

    Katika maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari leo jijini dodoma...Kaimu balozi wa Marekani ametoa tamko la Serikali ya Marekani juu ya Hali ilivyo kwa Uhuru wa Vyombo vya Habari nchini kwa kumpiga kijembe waziri wa mambo ya nje Prof. Kabudi kwa kusema "Uhuru wa vyombo vya habari...
  5. J

    Prof. Kabudi: Uwepo wa Viti Maalum bungeni ni kinyume cha Katiba ila upendeleo tu

    Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Kabudi amesema uwepo wa viti maalumu katika bunge au baraza la madiwani ni kinyume na katiba na limeachwa liendelee kuwepo kama jambo la upendeleo tu. Chanzo: TBC!
Back
Top Bottom