passport ya kieletroniki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Senior masai

    Msaada: Utaratibu wa kuomba Passport ya kusafiria

    Habari wana JF, Ninaomba kufahamishwa kuhusu mahitaji ya application ya international passport na visa, katika vipengele hivi, Mahitaji muhimu Kiasi cha fedha katika process yenyewe Muda wa kukifatilia na muda wa kukipata Ofisi gani zitanisaidia kwa haraka na namkuta mtu wa cheo gani...
  2. M

    KERO Upatikanaji wa Passport kwenye ofisi ya Uhamiaji pale Kibaha Mjini bado ni changamoto

    Ni muda sasa tangu watu wafanye maombi ya passport lakini hadi sasa hawajapata hizo passport. Raia kila wakienda wanaambiwa changamoto ni mtandao. Ni miezi 6 sasa na wengine wanaambiwa wafanye maombi upya. Je ni haki? Uhamiaji wana matawi tofauti nchini. Kwanini wasiwape transfer waende...
  3. Sir robby

    Utaratibu wa kupata passport ya kieletroniki upoje?

    Watanganyika wenzangu nawasalimu. Naomba kujua Utaratibu wa kupata Passport za Kieletroniki upoje? Ni Viambatanisho gani natakiwa niwe navyo na Gharama zake za Serilali zipoje? Naomba msaada wenu.
Back
Top Bottom