password

  1. Msaada wa password za Good Vision Smart TV 32

    Mwenye kujua password za goodvision 32" anasaidie aisee. TV yangu ghafla toka majuzi nikiiwasha inareta message hii yani zimebaki dk 4 ijizime automatic yenyewe, nilifikiri kuifanyia system recovery lakini nilipofika hapo inadai password ambazo sijawahi kuweka na sizijui. Msaada kwa wajuzi wa...
  2. Kutojua password

    Nina kifaa cha WiFi asa sijui password mnanisaidiaje? Kifaa nilikua natumia na x wangu na ndio alienipa asa nimeachana nae sijajua Kama kanibadilishia ila kifaa kanipa ninacho wakuu msaada.
  3. R

    Kwanini unampa mtu wako wa karibu 'password' zako?

    Nywila (password) ni utambulisho binafsi, ambao hulinda taarifa zote katika ulimwengu wako wa kidijitali: taarifa binafsi, akaunti za benki, mitandao ya kijamii, taarifa za nyeti, picha na maudhui ya aina yoyote. Ndiyo maana ni muhimu kuunda nywila imara ambayo ni ngumu kukisia. Hata nywila...
  4. R

    Nywila (password) zako ni imara au ukidukuliwa sehemu moja umekwisha?

    Utahitaji kuwa na password ili kufanya karibu kila kitu kwenye mtandao, kuanzia kuangalia barua pepe hadi benki ya mtandaoni. Na ingawa ni rahisi zaidi kutumia password fupi, ambayo ni rahisi kukumbuka, hii inaweza pia kuleta hatari kubwa kwa usalama wako wa mtandaoni. Ili kujilinda na taarif...
  5. Admistrator password recovery

    Je, naweza kupata administrator password kama ameshaisahau au haijui ili isije kunipa shida kwenye kuweka window? I mean password ya BIOS
  6. Tunaondoa Bios Password na User Password katika Laptop na Desktop

    Habari wadau! Kama una Laptop au Desktop umesahau Password ya user(admin) au Bios njoo tutatue tatizo. Gharama ya kuondoa user Password without delete data ni 10,000/= tshs na Bios Password 30,000/= Tshs Nipo Machinga Complex Karume Dsm 0718 290779
  7. Nimesahau password ZIP FILE

    Habari wakuu, nimesahau password ya ZIP FILE nifanyaje ili niweze ku-extract? Natumia simu ya android.
  8. Jinsi ya ku- uninstall Folder Guard ikiwa umesahau password

    Habari za mda huu wakuu? I hope mko poaa... Sasa wakuu nlikua nme-lock folders kadhaa kwenye PC hapa, na folder hizi sijazifungua kwa mda mrefu kweli, almost two years. Leo nataka nizifungue, password zote nnazokumbuka uwa nilitumia hazitaki, na nikikataka ku-uninstall bado mzigo unadai password...
  9. Msaada: Nataka kufuta account yangu ya FB, nimesahau Password na nime-log out muda tu

    Ndugu zangu habarini za asubuhi. Jamani nahitaji msaada jinsi ya kufuta account yangu ya FB, lakini nimesahau Pasword na nime-log out muda tu. Nimejitahidi sana kuomba Pasword Lkn imekuwa changamoto, Ule msimbo hautumwi. Nimeomba kila siku ndani ya siku 25 lkn imeshindikana. Hata sijui ni...
  10. Taarifa kwa mnaoiba simu: Nimeamua kuacha simu yangu bila password yoyote. Guseni mnase

    Najua kuna umuhimu mkubwa sana wa kulinda simu kwa password sio kwa WEZI tu ila kulinda data zangu pia. Ila niwape taarifa wezi wote wa simu kwamba, mkiiba simu yangu hamtapata shida ya kwenda kuflash wala nini. Mniibie tu NINA UHAKIKA MKIIBA NITAIPATA TU TENA NIKIWA NIME RELAX.. UKIILETA...
  11. Usitumie nywila (Password) moja kwenye mitandao yako tofauti ya kijamii

    Salaam Wakuu, natumai nyote mpo salama. Nywila (Pasword) imekuwa ni sehemu muhimu ya ulinzi wa akaunti zetu za mitandao ya kijamii pamoja na vifaa vyetu vya kidijitali. Katika kuendelea kuhakikisha matumizi ya mitandao ya kijamii inakuwa salama, wataalamu wa mitandao wanahimiza kuunda password...
  12. SOLVED: Kwa wale wote waliotuma maombi NBS na hawajatumiwa e-mail ya password fanya hivi

    Sina muda, fanya hivi... Kwanza ingia Google tengeneza Email mpya(sipaswi kukukumbusha kukumbuka password) Rudi Google kwenye www.nbs.go.tz Anza kujaza fomu upya, Katika zile taarifa zako za mwanzo badilisha vitu vifuatavyo.. 1.Weka email mpya, 2. Badilisha Namba ya FM4 3. Badilisha Namba ya...
  13. Msaada: Nini password ya hapa?

    Kama kuna mtu ameomba kazi ya ukarani wa sensa, hapa kwenye password naandika nini?
  14. Crack the password

    CHANGAMSHA UBONGO
  15. Kuna watu bado wanatumia SHA-1 ku encrypt passwords?

    Leo nilikua napitia baadhi ya website za taasisi zetu hapa nchini moja ya taasisi kubwa tu ya IT juzi juzi hapa walifanya update ya system yao wakaongeza baadhi ya features na function mbalimbali Kabla ya hayo maboresho, system yao ilikua moja ya website ngumu kupata loophole Leo nimetest...
  16. Jinsi ya kutoa Password katika simu ya tecno F1 bila kutumia computer

  17. Fanya haya kulinda Nywila (Password) zako

    NAMNA YA KULINDA NYWILA (PASSWORD) YAKO 1) Usitumie Nywila (Password) moja kwenye kurasa zako zote za Mitandao ya Kijamii. Hakikisha kila mtandao unatumia #Password yake 2) Hakikisha Nywila yako ina jumla ya herufi/alama zisizopungua 16 au na zaidi (Mfano: M1m1$%678abc@£+#) 3) Usitumie maneno...
  18. Nini maana ya kuwa na strong password?

    Habarini humu waungwana? Kuna swala mimi linanitatiza juu ya nywira(password), Kwanini wanatusihi kuwa na nywira ngumu ikiwa Kuna uwezekano wa kuweza kudukuliwa..? Let's say mfano niweke nywira hii Kenzy1234,hii watasema ni dhaifu hivyo strong watataka iwe ya mfano huu X#@Bata52,Sasa hoja...
  19. J

    Nimenusurika kufumwa dakika za mwisho

    Hali zenu? Jamani mwenzenu mume wangu sujawahi mchiti ila yeye nishamfumania mara kadhaa tu. Basi na mimi nkaamua kuchat na kijana tu yupo nje ya nchi wala sipo in relationship naye ilikua tunachat mambo ya sex tu ila si mpenzi wangu wala chochote na ni mara ya kwanza kuongea na jinsia ya...
  20. J

    Njia salama za ulinzi wa 'Password' yako

    1. Ongeza ulinzi kwenye 'accounts' zako mfano 'two factor authentication 2. Usimpe mtu password yako 3. Kuwa na tabia kusasisha 'update' tovuti unazotumia na akaunti zako za mitandao ya kijamii 4. Kuwa na tabia ya kubadilisha nywila mara kwa mara
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…