pasua kichwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mr Why

    Mbowe ni mgumu kuelewa, watu kama hawa ni pasua kichwa, ushauri wa kuachia madaraka ulikuwa mzuri ili ufute kashfa ya uroho wa madaraka lakini haelewi

    Mbowe ni mgumu kuelewa, watu kama hawa ni pasua kichwa, ushauri wa kuachia madaraka ulikuwa mzuri ili ufute kashfa ya uroho wa madaraka lakini haelewi Matokeo yake Wanachama pamoja na Wananchi watapoteza imani Lakini pia CHADEMA itapuuzwa na CCM pale itakapokuwa ikiwanyooshea kidole kwa madai...
  2. Heart Wood.

    Mashabiki wa Simba na yanga ni Pasua Kichwa.

    Hawa ni changamoto sana. Timu ikishinda goli chache inatupiwa lawama kuwa kiwango kimeshuka. Timu ikishinda goli nyingi wale wa upinzani wanasema timu iliyoshinda imenunua mechi na wachezaji. Timu zao zikishindwa wanatokwa maneno hatari. Wiki nzima mtu atalaumu hatari. Kila mtu anajifanya...
  3. mdukuzi

    Ukizaa watoto kuanzia watano lazima atatokea mmoja pasua kichwa

    Huu ni utafiti wangu Usio rasmi
  4. Mad Max

    Habari nzuri kwa makampuni ya Mabasi: CATL wazindua battery yenye lifespan ya miaka 15!

    Watengenezaji wakubwa wa battery za magari ya umeme CATL jana (tar 13 Sept) wamezindua battery Tectrans Bus Edition kwaajili ya mabasi ya umeme yenye lifespan ya miaka 15 au Kilometa Mil 1.5 na warranty ya miaka 10 au kilometa Million 1. Hii battery ina energy density ya 175 Wh/kg ambayo ni...
  5. Julius Husseni

    Simu za mkopo pasua Kichwa

    Haki ya nani, Leo nimeingia duka la simu za mikopo, nimekuta simu ya 280k kesh. kwa miez 12 ni 420k yani nusu kwa nusu duh. Aisee.
  6. Gol D Roger

    Sikujua kwamba wanawake ni pasua kichwa kiasi hiki

    Hapa nipo na msongo wa mawazo, bora nilivokuwa single nilikuwa nina furaha. Bora hata angenisaliti ningejua cha kufanya(ningeachana nae), ila makosa anayofanya ni madogomadogo ila ni mengi na yanakera sana. Hivi mtu anategemeaje ufanye kitu ambacho hujamwambia?? Wanawake eleweni kwamba...
  7. Nyamwi255

    Haya sasa tujuane wewe kama mwanaume upo kundi gani hapa?

    Haya Sasa tujuane wewe kama mwanaume upo namba ngapi au Huwa una react vip I babe wako akikuomba pesa ya Kodi. Na we mwanamke mwanaume wako ulonaye yupo namba ngapi? "Babe sijalipa Kodi" 1. REAL MEN: "Nitumie namba nilipe ya miezi mitatu 2. A COW: "Utalipa tu usijali" 3. A DOG: "kwani unalipaga...
  8. Muxt

    Ushauri: Alinivumilia wakati sina kazi lakini tukaacha nilipokaribia kupata kazi, nimepata mwingine sasa haachi kunisumbua turudiane

    Guys ninaomba ushauri, Nina mwanamke wangu nilikuwanaye kwenye mahusiano tangu nipo nasoma mpaka namaliza lakini ilinichukua kama mwaka na nusu bila kupata kazi. Wakati huo yeye alikuwa na kazi anauza duka la cosmetics la mtu. Nilikuwa sina hela mwanamke alinivumilia sana ingawa hela yake...
  9. Candela

    Gari za umeme pasua kichwa gharama za uendeshaji

    Habari wapendwa. Ni wazi dunia inapigana kuhakikisha gari za umeme ndio zinatawala kwa hoja ya kuwa rafiki na mazingira. Licha ya yote bado hizi gari ni changamoto hasa inapopata damage. Tuchukue mfano kesi ya hivi karibuni huko Vancouver, mmiliki wa Hyundai Ioniq 5 ya mwaka 2022 alipata ajali...
  10. P

    Aliyesema ndoa ni utapeli ajengewe sanamu

    Habari za ijumaa wadau. Niende moja kwa moja kwenye mada. Nina class mate wangu tupo karibu sana kama ndugu kwenye urafiki wetu. Sasa anachangamoto ya kimahusiano na mke wake ameniomba ushauri. Niende moja Kwa moja kwenye mada class mate wangu huyo kutokana na ukaribu niliokuwa nao japo tupo...
  11. sky soldier

    This is Africa: Rais wa Nigeria yabainika alitumia cheti cha mwanamke kudanganya ni degree yake. Je, atawajibika kwa kuidanganya nchi anayoiongoza?

    Degree yake ya kwenye CV inayoonyesha kasomea chuo kikuu cha Chicago nchini Marekani ilizua maswali, wananchi wakatuma maombi Marekani kutaka kujiridhisha elimu ya Rais wao. Wamarekani wapo Direct, siku ya jana Jaji wa Marekani aliamuru taarifa za uhalali wa cheti zitolewe leo na imebainika...
  12. M

    SoC03 Tabu na mahangaiko ya jiji

    Ilikuwa majira ya kiangazi saa Saba mchana, mbingu ilionekana na uhaba mkubwa wa mawingu hali iliyopelekea jua kuwa Kali sana kuliko ilivyozoeleka. Joto lilikuwa Kali sana kiasi ya kwamba Machinga walio kuwa kando mwa barabara wakijitafutia riziki zao waliloa kwa jasho lililokuwa likiwatiririka...
  13. mfate42

    Kuna wanawake kweli pasua kichwa aisee, dah balaa

    Yan mda wote anataka akuone ndani Kama msukule vile, wanawake nani aliewadanganya kuwa mwanaume anachungwa kama mbuzi? Nimeaga nna appointment na wanachama wenzangu imekuwa nongwa, kavuta mdomo balaa. Ukitoa taarifa tabu, usipotoa taarifa ndo Vita kabisa ya urusi na Ukraine dah. No body is...
  14. Determinantor

    Kifo cha Nusra wa UDOM Bado ni pasua kichwa, UDOM waikana taarifa iliyosambaa

    Kuna nini kimejificha nyuma ya kifo cha huyu Binti?? Anadaiwa kufariki tarehe 29/04/2023 ila taarifa zimeanza kuzagaa Leo kwenye social media. Kuna maswali mengi kama haya.... Haya maswali yamechukuliwa sehemu nyingine, sio yangu. Mwanafunzi wa UDOM, Nusura Hassan Abdallah anafar- iki...
  15. mxrereco

    Single mother bana, tabu tupu

    Samaleko... Hiki nacho ni moja ya visa vyangu kwenye harakati zangu za kumpata mtoto wa mama mkwe. Kuna ka binti nilikutana nako miezi kama mitatu iliyopita. Siku ya kwanza tu nakaona nilipokasalimia tu, kalinichangamkia sana. Kakaniambia "ni kama nakuonaga maeneo flan" na ni kweli ndio maeneo...
  16. kimsboy

    Mke wangu wa zamani alikuwa pasua kichwa, nilimuacha nikaoa mwingine sasa nina furaha

    Kusema kweli sikuwahi kuzungumzia maisha yangu humu JF hususani mambo ya ndoa ila naomba nishare nanyi hili jambo. Niliwahi kuwa na ndoa ya kwanza lakini mke wangu wa kwanza alikuwa pasua kichwa balaa, ana gubu, kiburi, na mdomo sana, ilikuwa inafika mahali naona hata sio busara kurudi nyumbani...
  17. myself4myself

    DOKEZO Eliah Mwakalonge (Mkufunzi NMNA) pasua kichwa kwa Wanafunzi

    Wanafunzi wamekuwa wakimlalamikia juu ya ufundishaji wake wa somo la TEHAMA kuwa ni msumbufu. Nikiongea na mwanafunzi ambae alikataa kutaja jina lake na level (Mwaka wa masomo) alisema Mwakalonge anatufundisha somo la TEHAMA(information and communication Technology). Katika muhula huu wa...
  18. Orketeemi

    Huyu mwanamke Pasua kichwa nakabiliana naye vipi?

    Ñm
  19. A

    MIG 31 pasua kichwa

    MiG-31, ambayo ilifanya majaribio yake ya kwanza mnamo 1975, bado inawatia wasiwasi wataalamu wa kijeshi wa Western Military Watch imeripoti. Urusi haikuwahi kuza ndege hii, ndiyo sababu nchi za Western hazijaweza kufichua siri za MiG-31. Ndege ambayo technology yake ya kisasa zaidi, kwa...
  20. M

    Siasa za Marekani pasua kichwa, Republican wadhihakiwa

    Mzuka Wanajamvi! Sasa hivi kuna mtifuano ndani ya chama cha Republican. Trump na gengeelake wanamnyooshea kidole senator minority mitch McConnell eti ndie amesasababisha Republican kufanya vibaya na kuifanya Democrats kuchukua senate. Lakini ikumbukwe huyuhuyu Mitch McConnell alitahadharisha...
Back
Top Bottom