Niseme ukweli ninakerwa sana na message za watu wanaojiita patapata. Unafuta inaingia nyingine. Nimejaribu kutafuta namna ya kuwazuia lakini imeshindikana.
Naomba mnipe ushauri nifanye nini au kama TCRA wanaweza kusaidia hili naomba mnisaidie namba yao ya huduma kwa mteja.
Kusema kweli...