Utangulizi
Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, kumekuwapo na maswali mengi kuhusu kutoonekana kwa Patrick Boisafi, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro.
Ni muda mrefu sasa tangu hajaonekana kwenye vikao muhimu vya chama, sherehe, misiba, na hata harambee mbalimbali...