patrick pouyanné

Patrick Jean Pouyanné (born 24 June 1963) is a French engineer who has been serving as chairman and CEO of TotalEnergies since 2014.

View More On Wikipedia.org
  1. Bunge la Ulaya kuihoji TotalEnergies kuhusu athari za Bomba la Mafuta Hoima - Tanga (EACOP)

    Kampuni hiyo ya uzalishaji mafuta imetakiwa kufika mbele ya jopo la Wabunge wa Umoja wa Ulaya Oktoba 10, 2022 kujieleza kuhusu athari za Kimazingira na Ukiukaji wa Haki za Binadamu kwenye utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP). Mtendaji Mkuu wa Kampuni...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…