Mwanasheria msomi,nguli katika kudadavua migogoro ya kisheria nchini tunaomba mrejesho wa kesi ya Yusuph Kagoma kwanza.
Maana ulituaminisha kwamba mchezaji huyo alisaini Yanga na mkataba upo.
Wasiwasi wa sisi mashabiki huko 'CAS' utaweza kuitetea Yanga kweli?
Rekodi zako katika mashauri...
Nimemsikia GB64 akitangaza mitandaoni kuwa wachezaji Yanga wanatumia dawa za kuongeza nguvu, ina maana Patrick Simon hazioni clips hizi?
Kama sio kweli anachosema GB64 kuhusu Yanga kwanini hafunguliwi mashtaka mahakamani kwa kuharibu brand ya Yanga?
Akina Magoma walifungua na kuendesha kesi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.