patrick simon

Simon Patrick (8 September 1626 – 31 May 1707) was an English theologian and bishop.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    Patrick Simon(Mwanasheria msomi) kabla ya kwenda 'CAS' kupeleka malalamiko dhidi ya Simba tunapenda kufahamu ilipofikia kesi ya Yusuph Kagoma

    Mwanasheria msomi,nguli katika kudadavua migogoro ya kisheria nchini tunaomba mrejesho wa kesi ya Yusuph Kagoma kwanza. Maana ulituaminisha kwamba mchezaji huyo alisaini Yanga na mkataba upo. Wasiwasi wa sisi mashabiki huko 'CAS' utaweza kuitetea Yanga kweli? Rekodi zako katika mashauri...
  2. Wana Yanga SC tunaomba Mwanasheria wetu Patrick Simon atuombe Radhi kuhusu Mchezaji wetu Yusuf Kagoma

    Mwanasheria alituambia Sisi wana Yanga SC (GENTAMYCINE) nimo kuwa Kagoma ni Yanga sasa mbona yuko Simba?
  3. Yanga itafute mwanasheria mwingine, iachane na Patrick Simon, ana kasoro

    Nimemsikia GB64 akitangaza mitandaoni kuwa wachezaji Yanga wanatumia dawa za kuongeza nguvu, ina maana Patrick Simon hazioni clips hizi? Kama sio kweli anachosema GB64 kuhusu Yanga kwanini hafunguliwi mashtaka mahakamani kwa kuharibu brand ya Yanga? Akina Magoma walifungua na kuendesha kesi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…