paw

  1. Mr Why

    Kokoriko ya Paw Fum ni ngoma nzuri sana kwa DJ's wa Pub

    E banae katika pitapita zangu YouTube nimekutana na ngoma moja ya Kokoriko ya jamaa anaitwa Paw Fum nikaichukulia poa badae nika download nikaeka kwenye bufa ebana ngoma inakita sio poa. Kwa wale DJ's wa Pub hii itakuwa nzuri kwenu kwasababu ina amsha amsha flani hivi inapandisha mizuka...
  2. Kasomi

    Aki na Ukwa(Paw paw) Kurudi katika uigizaji

  3. Mr Why

    Tanzania Yapata Mwanamziki Mpya

    Tanzania yapata Mwanamuziki Mpya. Hayo yametokea hivi karibuni baada ya Mwanamziki huyo Paw Sixs wa miondoko ya Pop kuachilia kibao chake cha "Ooh" Sasa unaweza kusikiliza kibao chake
Back
Top Bottom