payoneer

Payoneer is a financial services company that provides online money transfer, digital payment services and provides customers with working capital.

View More On Wikipedia.org
  1. Solution for Residential address verification for Payoneer account in Tanzania

    Hellow nipo DAR ES salaam, Tanzania ninaomba Msaada (Guidance) WA kupata documents zinazokubalika kufanya verification ya residential address kwenye account ya payoneer, Nimejaribu bank statement imekuwa rejected na payoneer system Kwasababu inaonesha P.O.BOX Address, email yangu ni...
  2. Jinsi ya kutumia Payoneer

    Naomba kuelekezwa jinsi ya kufungua account Hadi ntakavyotoa pesa kwenda kwenye bank account yangu
  3. M

    Kutoa Pesa Payoneer Kwenda Local Bank Inatumia Muda Gani?

    Niaje pande hizi wakuu? Bana me mgeni kidogo kwenye haya maswala na nilitaka kufahamu jambo kuhusu Payoneer, Ni kiasi cha muda gani inatumia mpaka pesa kukufikia ukiwithdraw direct kutoka payoneer kwenda Local Bank? Nimetumia CRDB, Nimewithdraw Jumanne ila hadi leo Jumatano bado haijafika
  4. Payoneer account verification

    Habari, Bila shaka uko poa. Mimi ni Freelancer na nauza mziki wangu kwenye majukwaa mengi ya kimuziki. Nimejiunga na Payoneer NIDA na kila kitu kimekubali shida kwenye Utility au Bank Statement. Nishafanya ku-upload Bank Statement, utility ili wa-verify address wanavosema ila inakaa. Nikawa...
  5. Kutoa Pesa Payoneer Kuja Bank nitumie NMB au CRDB

    Habari, nimejiunga na mtandao wa UPWORK hivi karibu. Swali langu kwa wazoefu, Je nitumie bank gani ya uhakika kati ya NMB na CRDB kwa ajili ya kutoa pesa payoneer?
  6. Payoneer inafanya kazi kwa Tanzania?

    Wanajukwaa wenzangu tunaopenda kufanya kazi za online na watukutoka nje ya nchi nilikua naomba kuulize hivi payoneer inaruhu kupokea pesa toka nje ya nchi??
  7. Hamisha pesa directly toka payoneer mastercard kuja airtel money haraka

    Kwa wale ambao mlikuwa mnapata tabu ya makato pale mnapoenda kudraw pesa kwakutumia payoneer mastercard sasa airtel wamesolve hilo shida. Airtel wana huduma ya kuhamisha pesa kutoka mastercard au visa kuja airtel, hivyo unaweza tumia njia hiyo hamisha pesa toka payoneer account kuja airtel...
  8. Pigo jingine kwa watumiaji wa Payoneer hasa freelancers

    Kwa wale wenzangu na mimi mnaodaka pesa mtandaoni mtakuwa manijua payoneer njia inayokuwezesha kuwa na akaunti ya dollar marekani na kadi ya kuwithdraaw pesa yako kwenye atm yoyote, au ukawa na akaunti ya Euro Ujerumani na kadi ya kuwithdraw pesa yako au Pound account U.K. Sasa kadi za payoneer...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…