pcm

Pulse-code modulation (PCM) is a method used to digitally represent sampled analog signals. It is the standard form of digital audio in computers, compact discs, digital telephony and other digital audio applications. In a PCM stream, the amplitude of the analog signal is sampled regularly at uniform intervals, and each sample is quantized to the nearest value within a range of digital steps.
Linear pulse-code modulation (LPCM) is a specific type of PCM in which the quantization levels are linearly uniform. This is in contrast to PCM encodings in which quantization levels vary as a function of amplitude (as with the A-law algorithm or the μ-law algorithm). Though PCM is a more general term, it is often used to describe data encoded as LPCM.
A PCM stream has two basic properties that determine the stream's fidelity to the original analog signal: the sampling rate, which is the number of times per second that samples are taken; and the bit depth, which determines the number of possible digital values that can be used to represent each sample.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    PCM TUTION CENTRE. WE TEACH PHYSICS, CHEMISTRY, AND MATHEMATICS FOR A- LEVEL AND PRE FORM FIVE. (0625012562; 0782044028)

    Be competence in PHYSICS, CHEMISTRY AND MATHEMATICS. A- LEVEL & PRE- FORM FIVE. We are at TEGETA, Dar Es Salaam. 0625012562; 0782044028 WELCOME.
  2. Paul Christian Makonda (PCM) ndo kijana mwenye Akili zaidi ya siasa za Tanzania kwa kizazi hiki.

    Kuweka kumbukumbu sawa akiwa miongoni mwa wabunge kwenyr bunge la katiba awamu ya Jk ,Makonda alipongeza uwezo wa Samia Suluhu Sahan kusimamia bunge la katiba kama naibu spika.lakin pia aliona maona na kuyasema nanukui ikipenda uko mbeleni huyu mama aje awe makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano...
  3. Combination ya PCM ime balance Yanga Au kihasibu Yanga Sasa tuna CPA😅

    Ujio wa Chama utaleta mabadiliko makubwa. Ni Gamondi mwenyewe kuamua atumie mfumo Gani? Comb ya PCM , pacome, Chama, Max. Au kihasibu tuseme Yanga tumefuzu Kwa CPA. CPA Chama Pacome Aziz ki. Mbumbumbu Kwa combination hii mtakula za kutosha dadek. Shukran Kwa Eng Hersi Said. .yanga bingwa tena.
  4. B

    2015 CCM iliujaribu moto wa JPM, 2025 Iujaribu tena moto wa PCM

    Asalam Aleykum ndugu zangu wa JF. CCM ni chama imara na chenye "Intelijensia" bora kabisa duniani. Ndiyo maana pamoja na changamoto ambazo zimekuwa zinatokea ndani na nje ya chama, bado ni moja kati ya vyama vikongwe zaidi Afrika na duniani kwa ujumla ambacho kimeendelea kushikilia dola (au...
  5. Wahitimu wa form six masomo ya Sayansi (PCM, PCB, CBG) wana uelewa zaidi kuliko wahitimu wa vyuo waliosomea ualimu

    Maoni yako ni yepi juu ya hili: Wahitimu wa form six masomo ya Sayansi (PCM, PCB, CBG) wana uelewa zaidi kuliko wahitimu wa vyuo waliosomea ualimu. Kuna mdau ameshauri wahitimu wa form six wawe wanaajiriwa moja kwa moja kufundisha shule za sekondari bila kupitia chuo wanakoenda kugoogle badala...
  6. Natafuta shule za Advance zenye mchepuo wa PCM, PGM

    Msaada wana Jf ,nahitaji kupata shule za advance zenye mchepuo wa PCM na PGM za private na za serikali zinazofanya vizuri
  7. Hivi PCM ukipata division two ya point 10 form six course gani inafaa hapo

    nisaidieni hapo wakuu nielewe PCM ambapo ufaulu ni CDC
  8. Wanafunzi wanaosoma Tahasusi ya PCM wazidi kuongoza kitaifa katika matokeo ya kidato cha sita 2022

    .....
  9. Nahitaji walimu wa 3 wa PCM

    Habari wasomi! Kama title linavyojieleza hapo juu, nahitaji walimu watatu wa PCM ila wale wanawake ambao wanaishi DAR. Kuna project nataka nianzishe so nahitaji TEAM PCM. Hakikisha kuna somo moja wapo uko vizuri sana ili kila mwalimu adili na somo lake. Unaweza comment below uko vizuri kwenye...
  10. A

    Mliosoma PCM vipi maendeleo kwenye ndoa?

    Wale wenzangu mliosoma PCM baadhi yenu tena kwenye shule za vipaji na mkafanikiwa kuwa na wenzi. Vp PCM imekusaidia chochote kwenye ndoa? Au unapelekeshwa Kama boya?
  11. R

    Kwa ufaulu huu unaweza kuchaguliwa kusoma PCM

    Dogo anaweza kuchaguliwa pcm: phy D Chm C math B. 2 ya 18
  12. M

    Elimu ya kidato cha sita PCM ufaulu daraja la pili kweli sipati ajira? Dodoma

    Umri 26 Jinsia ME Makazi.. Dodoma mjini Nb Nipo vizur kimwili na kiakili kufanya kazi yeyote ile kwa kuagizwa au kujisimamia kwabidii kubwa... Usijali kuhusu kazi unayonipa nipigie 0621568325 tuongee.. Pia ushauri napokea. "sipendi umaskini"
  13. A

    PCM kusoma sheria/political science

    Habar wakuu Mimi Ni mhitimu wa kidatu cha sita kutokana na maamuzi wa wazee nililazimishwa kusoma sayansi A level japo Mimi napenda zaidi arts nimehitimu katika tahasusi ya PCM na Nina ndoto za kusoma Sheria. Matokeo yangu Ni yafuatayo Gs C Phy C Chem C Adv maths B Div 1.8 Kuna wengi...
  14. Ufaulu wa Div 2.11 PCM kwa DDC, naweza kupata chuo cha serikali kwa engineering?

    Msaada wakuu, Naweza pata MUST, UDOM, n.k Kwa civil au electrical engineer kwa ufaulu huo? Je, naweza soma kozi ipi nzuri nyingine?
  15. Msaada wenye viona mbali: binti aliyesoma PCM, div 3

    Tuko zama za kuchagua kozi kwa busara na si kusoma tu. huu ni uwanja wa wazoef katika uwekezaji kielim. binti yangu alipata div 3 pcm. nimwelekeze mlengo gani kifani?
  16. Wanaohitimu PCM wanaweza kusoma kozi gani?

    Wakuu hii mada naomba tuijadili hapa. Binafsi kama sioni fyucha ya vijana wa PCM Tanzania. Haijalishi kapiga one kali au ya kawaida. Mada ni hii hapa mezani. Je, Wanaohitimu PCM wanafyucha kwenye kozi gani?
  17. Kwanini vijana wa PCM pekee ndio hupiga one za tatu Tanzania?

    Nimekuja na tokeo la vijana machachari kutokea KISIMIRI wakiendelea kunyosha misonge ya one kali. Swali langu ni moja kwanini ni vijana wa PCM tu ambao hutoboa kupiga one za tatu tangu Tanzania kuumbwa.
  18. Naomba kujua vitabu vya combination ya PCM Form 5 na 6

    Wadau nina mtoto anaenda form five PCM, mimi mzazi natakiwa kumnunulia vitabu, ninachojua ni Nelkon kwa physics. Je, vingine vizuri ni vya aina gani wakuu?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…