Serikali duniani kote zinakabiliwa na madai ya kutisha kwamba zilitumia programu hasidi iliyotengenezwa na Israel kwaajili ya kupeleleza simu za wanaharakati, waandishi wa habari, wasimamizi wa mashirika na wanasiasa.
Lakini je, spyware ya Pegasus inafanya kazi vipi hasa? Je, inaingiaje kwenye...