pep guardiola

Josep "Pep" Guardiola Sala (Catalan pronunciation: [ʒuˈzɛb ɡwəɾðiˈɔlə]; born 18 January 1971) is a Spanish professional football manager and former player, who is the current manager of Premier League club Manchester City. He is often considered to be one of the greatest managers of all time and holds the record for the most consecutive league games won in La Liga, the Bundesliga and the Premier League.Guardiola was a defensive midfielder who usually played in a deep-lying playmaker's role. He spent the majority of his career with Barcelona, forming a part of Johan Cruyff's Dream Team that won the club's first European Cup in 1992, and four successive Spanish league titles from 1991 to 1994. He later captained the team from 1997 until his departure from the club in 2001. Guardiola then had stints with Brescia and Roma in Italy, Al-Ahli in Qatar, and Dorados de Sinaloa in Mexico. He was capped 47 times for the Spanish national team and appeared at the 1994 FIFA World Cup, as well as at UEFA Euro 2000. He also played friendly matches for Catalonia.
After retiring as a player, Guardiola briefly coached Barcelona B, with whom he won a Tercera División title, and assumed control of the first-team in 2008. In his first season as the first team manager, he guided Barcelona to the treble of La Liga, Copa del Rey and UEFA Champions League. In doing so, Guardiola became the youngest manager to win the aforementioned European competition. In 2011, after leading the club to another La Liga and Champions League double, Guardiola was awarded the Catalan Parliament's Gold Medal, their highest honour. The same year, he was also named the FIFA World Coach of the Year. He ended his four-year Barcelona stint in 2012 with 14 honours, a club record.
After a sabbatical period, Bayern Munich announced Guardiola would join the club as manager in 2013. Guardiola won the Bundesliga every season he was there, as well as two domestic doubles. He left the Bavarians for Manchester City in 2016, and guided them to a Premier League title in his second campaign in charge, breaking numerous domestic records as the team became the first to attain 100 league points. He won a second consecutive Premier League and EFL Cup the following season, as well as the FA Cup, becoming the first manager to win the domestic treble in English men's football.

View More On Wikipedia.org
  1. W

    Pasu kwa Pasu: Shilingi bilioni 318 za Pep Guardiola kugawanywa baada ya mke kudai talaka, Mke ataja sababu ni Pep kuwa busy sana

    Ukose Hela akukatae haupo bize, utafute ela akukatae uko bize Kocha mkuu wa Manchester City ya Uingereza Pep Guardiola ameachana rasmi na mke wake Cristina Serra baada ya kudumu kwenye ndoa miaka 30. Katika talaka waliyopeana mahakamani mke huyo wa Guardiola atatwaa nusu ya utajiri wa Guardiola...
  2. doup

    Kataa Ndoa Wazidi kupata Support: Pep Guardiola Talaka Mononi

    Nisikuchoshe ndugu msomaji Kocha hi nguli duniani Mzee Pep Guardiola wa Man City (Naweza kusema muasisi og wa Gusa Achia Twende Kwao) naye limemkuta baada ya wife kuomba taraka kisa jamaa yuko busy sana kutengeneza mkwanja Kwa ajiri ya familia ,imagine wife anakutema kisa tu uko fucus na kazi...
  3. Nehemia Kilave

    Pep Guardiola amekamilisha talaka kwa kupoteza Jumba na Nusu ya utajiri wake, mtalaka adai Pep alikuwa bize na mpira

    Pray for Pep Soma pia https://www.jamiiforums.com/threads/pep-guardiola-aachana-na-mkewe-baada-ya-miaka-zaidi-ya-30-kuwa-pamoja.2297069/
  4. Dalton elijah

    Pep Guardiola aachana na mkewe baada ya miaka zaidi ya 30 kuwa pamoja

    Baada ya miaka 30 pamoja, na watoto 3, Pep Guardiola na Cristina Serra wanaonekana kutengana. 💔 == Kocha wa Manchester City Pep Guardiola ameachana na mke wake Cristina Serra ambaye wamekaa pamoja kwa miaka 30. Guardiola ambaye anapitia kipindi kigumu kwenye kikosi cha Manchester City...
  5. JanguKamaJangu

    Pep Guardiola: Jose Mourinho anatamani Man City ishushwe daraja

    Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola amesema anaamini Jose Mourinho ambaye kwa sasa ni Kocha wa Fenerbahçe anaitakia mbaya City na ikiwezekana ishushwe daraja Awali, Guardiola alinukuliwa akisema yeye alibeba mataji sita ya Premier League tofauti na Mourinho aliyebeba matatu, kauli ambayo...
  6. Waufukweni

    Unaambiwa Pep Guardiola 'hapatikani' na hatumii simu yake ya mkononi, ajificha kuokoa Jahazi la Man City

    Kocha mkuu wa Manchester City, Pep Guardiola, anadaiwa kuwa "hapatikani" na hatumii simu yake ya mkononi, huku muda mwingi akijifungia ofisini akijaribu kutafuta njia ya kutoka kwenye hali ya vipigo mfululizo vinavyoikumba timu yake. Guardiola, ambaye anasifika kwa mbinu na Soka safi amekumbana...
  7. JanguKamaJangu

    Pep Guardiola mbioni kuongeza mkataba mpya Man City

    Licha ya kuwa mwanzoni mwa msimu huu ilielezwa Kocha Pep Guardiola ataondoka ndani ya Manchester City mwishoni mwa msimu huu wa 2024/25 inadaiwa kuna uwezekano wa Kocha huyo kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuinoa City. Guardiola (53) anaelekea mwishoni mwa mkataba wake wa sasa ambao...
  8. M

    Ni wazi kuwa utawala wa Gamondi na Pep Guardiola umefikia tamati

    Man City na Yanga Afrika ni miongoni mwa timu zenye kiburi na jeuri katika ulimwengu wa Soka nchini Uingereza na Tanzania kwa ujumla. Sasa hivi utawala wao umefikia ukingoni kutokana na kupokea mfululizo wa vipigo kutoka kwa timu kama Bournemouth na Tabora United. Soma Pia: Full Time: Yanga...
  9. JanguKamaJangu

    Pep Guardiola atangaza vita dhidi ya Mikel Arteta

    Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola amemjia juu Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta akimwambia ametangaza vita dhidi ya pande hizo mbili, ikiwa ni mwendeleo wa kurushiana maneno baina ya pande hizo baada ya matokeo ya sare ya magoli 2-2 walipokutana Wikiendi iliyopita. Guardiola amesema “Wakati...
  10. JanguKamaJangu

    Kocha Pep Guardiola asema Kevin De Bruyne anabaki Man City

    Kevin De Bruyne is STAYING at Man City this season, insists Pep Guardiola, despite reports claiming Saudi club Al-Ittihad had agreed terms with the veteran star Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola amesema kiungo wat imu yake, Kevin De Bruyne hana mpango wa kuhamia Saudi Arabia kama...
  11. JanguKamaJangu

    Kocha Pep Guardiola kuondoka Man City mwishoni mwa msimu ujao

    Kocha Pep Guardiola anatarajiwa kuondoka ndani ya Klabu ya Manchester City, mwishoni mwa msimu ujao wa 2024/25 mkataba wake utakapomalizika. Guardiola (52) aliyejiunga na Man City Mwak 2016 amesaliwa na miezi 12 katika mkataba wake na vyanzo vya Habari kutoka ndani ya klabu yake vinaeleza kuwa...
  12. Pdidy

    Kama Seleman Matola yuko Simba, Mtabadili kila kocha hata aje Pep Guardiola

    Si kwa nia mbaya maana nilisema hivi huko nyuma wakati anaondoka madevu simba na leo narudia tena kama matola bado yuko simba mtabadili kila aina ya kocha na hamtafanikiwa ...kama mlimpeleka shule aje kuwa kocha mkuu mtavuna mlichopanda naomba muweke hili kwenye kumbukumbu yaan akija yoyote...
  13. JanguKamaJangu

    Pep Guardiola aangua kicheko kuhusu kiwango cha Manchester United

    Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ametoa kicheko hicho alipoulizwa swali wakati akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu kiwango cha wapinzani wao, Manchester United jinsi walivyoanza msimu wa 2023-24. Baada ya kucheka, Guardiola akasema “Hawakuanza kama walivyotarajia ni kama ilivyo kwa...
  14. Dalton elijah

    Pep Guardiola has today undergone a routine operation on a back problem

    The Manchester City boss has been suffering with severe back pain for some time lately, and flew out to Barcelona for emergency surgery performed by Dr Mireia Illueca. The surgery was a success, and Pep will now recover and rehabilitate in Barcelona. In his absence, assistant manager Juanma...
  15. BARD AI

    Pep Guardiola: :Uwekezaji wa Saudi Arabia unaleta changamoto ngumu kwenye Soka la Ulaya"

    Kauli hiyo inafuatia Winga kutoka Algeria, Riyad Mahrez kujiunga na Al-Ahli ambapo Pep ameeleza kuwa uwekezaji wa Matajiri hao wa Mafuta unaolenga kujenga Ligi ya kipekee huko Uarabuni unaleta changamoto mpya na ngumu katika Soka la Ulaya. Pep amesema "Saudi Arabia imebadilisha soko, wakati...
  16. D

    Pep Guardiola atamchelewesha sana Haland kufika

    Kwanini alimtoa Halland jana wakati alihitaji goli moja kuvunja rekodi ya Messi? Au Pep ni mshabiki wa messi ambaye anajaribu kuzuia rekodi zake zisivujwe? Jamaa kwa kweli anazingua sana. Jamaa amekeua akimpunguzia sana Haland mabao. Kwa haraka hata goli 10 za ziada angelikua nazo kwa sasa...
  17. Aaron Arsenal

    Pep Guardiola na Mapinduzi ya Soka

    Kwasasa mpira umebadilika sana tofauti na enzi za kina Ferguson, Arsene Wenger n.k miaka ya 2000s. Moja ya watu walioleta mapinduzi ya soka ni Pep Guardiolaz, huyu ana wanafunzi wake wengi sana aliokaa nao na wanaoiga uchezaji wake, kina Xavi Hernandez, Mikel Arteta, Erik Ten hag, n.k Moja ya...
  18. VERDAD

    Pep Guardiola kweli ni mbaguzi wa rangi?

    Kumekuwa na shutuma nyingi sana zikimuhusisha kocha huyu bora kabisa kuwahi kotokea ulimwenguni na ubaguzi dhidi ya watu weusi na karibuni alihusishwa na Yaya Toure, je lina ukweli hili ama shida tu ya kisaikolojia ya sisi watu weusi?
  19. T

    Ifikie mahali Sir Pep Guardiola apewe tu heshima yake

    Ahlan wa sahlan Wakati ulimwengu ukifurahia kuwaona wachezaji magwiji wawili walioitikisa dunia ,namaanisha Mreno Sir Cristiano Ronaldo na Sir Lionel Messi, tunasahau kuwa hakuna kocha aliyewahi kufundisha mpira wa burudani na wa ushindi kama Mhispania Sir Pep Guardiola. Sir Guardiola hapewi...
  20. marcoveratti

    Nilikuwa sahihi kwa huyu kocha uchwara Pep Guardiola

    Nimerejea tena kuitazama post yangu ya tarehe 2 June mwaka huu. Niliipa kichwa cha habari, "PEP GUADIOLA NI KOCHA WA KAWAIDAA MNOOO". nilitoa mtazamo wangu kuhusu hyu kocha uchwara anae chukuliwa kama 50 cent wakati ana hadhi ya 20% zimepita siku sabini toka niandike yale na nilipingwa sana na...
Back
Top Bottom