pepe

Pepe is a pet form of the Spanish name José. It is also a surname.

View More On Wikipedia.org
  1. DR HAYA LAND

    Naomba mtu mwenye mawasiliano ya mwenyekiti wa UWT Taifa anisaidie au barua pepe yake.

    Wakuu , nilibidi kuwa hapo Dodoma katika mambo ya chama Ila unfortunately sitofika. Ila nahitaji kuwasiliana na mwenyekiti wa UWT Taifa mwenye mawasiliano yake anipatie PM. #Tanzania Mbele , Kazi iendelee🇹🇿
  2. Dogoli kinyamkela

    Jumatatu ni siku nzuri ya kuvaa mavazi meupe, kuelekeza nguvu zako za kike, na kufanyia kazi hisia, nguvu za kiakili na hali ya kiroho

    🚨🚨WAPENDWA HII NI TAHAJUDI YA JUMATATU NAOMBA MZINGATIE🚨🚨 👉Jumatatu ni siku nzuri ya kuvaa mavazi meupe, kuelekeza nguvu zako za kike, na kufanyia kazi hisia, nguvu za kiakili na hali ya kiroho. 👉Malaika ni Gabriel 👉Chakra: root chakra 👉Nambari: 9 👉Kipengele: Maji 👉Rangi: Mpya: Nyeupe...
  3. Carasco Putin

    Good bye Pepe

    Unalipi la kumkumbuka kitasa Pepe aliyetangaza kutundika daluga Leo
  4. Influenza

    Tahadhari: Utumiaji wa ‘BCC’ katika kutuma barua pepe yaweza kuwa sababu ya uvujaji mkubwa wa Taarifa Binafsi

    Ofisi ya Kamishna wa Taarifa huko Uingereza ametahadharisha kuwa Matumizi mabaya ya ‘BCC - Blind Carbon Copy’ katika utumaji wa barua pepe ni miongoni mwa sababu kubwa za Uvujaji wa Taarifa katika Sekta mbalimbali BCC - Blind Carbon Copy (Nakala ya Kaboni isiyoonekana) ni kitufe...
  5. bongo dili

    Unamkumbikia Pepe Kale kwa vibao vipi ukiwa wapi

    Hili jitu la miraba minne toka kule jamhuri ya Aradese bingwa la miondoko ya rhumba na soukous akiwa na rapa mahiri enzi hizo Bileku Mpasi akiwa stageshow wake mahiri emolo na jollybabe walitoa vibao mahiri visivyochuja kama Yanga Africa Mamaleki Moyibi Christina Larhumba Hidaya Don't cry dube...
  6. February Makamba

    Pepe na Bruno Fernandes wailaumu Argentina kwa kufungwa jana

    Wachezaji wa Ureno Pepe na Bruno Fernandes wanamlaumu Messi na Argentina kwa kufungwa jana. Wanasema kuwa FIFA inamuandalia Messi kombe la dunia kwa lazima na ndio maana refa wao aliwekwa wa Argentina aliyekuwa anaipendelea Morocco. My take: Hawa wametumwa na binadamu mwenye wivu mwingi kuliko...
  7. May Day

    Hivi ilikuwaje Pepe Kale akaimba ule wimbo wa "Yanga Africa?".

    Anayejua hebu atujulishe kama je Pepe kale alifuatwa na Wadau akapewa dili?. Viongozi/kiongozi mmoja alimpa dili akamlipa?. au ni mapenzi yake binafsi kwa timu ya Yanga?
  8. Bushmamy

    TANZIA Hidaya wa Pepe Kalle afariki dunia jijini Arusha

    Mwanamama maarufu na mrembo Hidaya Khamis Mtumwa almaarufu Hidaya wa Pepe Kalle amefariki Dunia leo asubuhi jijini Arusha, msiba upo nyumbani kwake Kaloleni. Hidaya alitamba miaka ya mwanzoni mwa 90 baada ya mkongwe wa mziki wa Rhumba Marehemu Pepe Kalle kumtungia wimbo wa kumsifia. Marehemu...
  9. J

    Norway imeituhumu China kwa kushambulia Barua Pepe za Bunge lake

    Serikali ya Norway imeituhumu China kwa kuhusika na mashambulio ya kimtandao katika mifumo ya Bunge lake mnamo mwezi machi 2021. Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway, Ine Eriksen Soereide amesema uchunguzi umebaini kuwa mashambulizi hayo kwenye mfumo wa barua pepe yalifanywa kutoka China. Asema...
  10. May Day

    Papy Tex: Msanii mwenye sauti ya dhahabu ambaye muda wote alijificha kwenye kivuli cha Pepe Kale

    Kwa muda wote akiwa anafanya muziki wake basi ni lazima jina lake litatajwa sambamba na jina Pepe Kale(Empire Bakuba)....hata kama kwenye wimbo husika hutoisikia sauti ya Pepe Kale. Nilibaki nikijiuliza ni kwa nini Msanii anayeonekana kuwa na kipaji chote hiki hakutaka kusimama kwa miguu yake...
  11. J

    Jifunze mambo muhimu ya kuzingatia katika usalama wa barua pepe (Email)

    Maana ya Usalama wa Barua Pepe (Email Security) Usalama wa Barua pepe ni hatua zote muhimu ambazo zinatumia kulinda mawasiliano na taarifa zinazokuja au kutumwa kutoka kwa Mtu mmoja hadi mwingine. Ulinzi huu unahakikisha hakuna Mtu asiyemlengwa au kuhusika / mdukuzi anayepata fursa au nafasi ya...
  12. Mlenge

    Ushauri wangu kuhusu mustakabali wa Elimu zama za COVID-19

    Habari. Chukua hatua, jikinge na maambukizi. Baadhi ya Maswali Magumu: 1. Mitihani ya kitaifa itafanyika lini? 2. Wa kujiunga na kidato cha tano wajiunge lini? 3. Wa kujiunga na vyuo vya elimu ya juu itakuwaje? ongezea hapo maswali mengineyo. Ufumbuzi: 1. Computerized educational...
Back
Top Bottom