peponi

"Paradise" is a song by the British rock band Coldplay, released on 12 September 2011 as the second single from their fifth album, Mylo Xyloto. The song received its radio debut at 7:50 a.m. on The Chris Moyles Show (BBC Radio 1) on 12 September 2011. According to Coldplay's official website, the single was not initially chart eligible in the United Kingdom, because it was available on iTunes as an "instant grat" (immediate download) when pre-ordering the album. Following the release of the album on 30 October 2011, the song became chart eligible in the UK and entered the UK Singles Chart at number 14, before taking the number 1 spot on its tenth week, becoming the band's second number-one single after "Viva la Vida" in 2008. The song was met with positive reviews, and was the best selling rock song of 2011 in the United Kingdom, selling 410,000 copies.On 30 November, the song was nominated for a Grammy Award, in the category Best Pop Duo/Group Performance. On 12 February 2012, Coldplay performed "Paradise" live at the RE, along with "Princess of China". At the 2012 MTV Video Music Awards on 6 September, the song won the award for Best Rock Video. Following the 2012 Stanley Cup playoffs on CBC, the song was featured in a yearly finale montage on CBC recapping the Stanley Cup Playoffs as well as British and American television advertisements and trailers for the Academy Award winning film Life of Pi which was nominated for 11 Academy Awards.

View More On Wikipedia.org
  1. Designing ya Altezza moja kwa moja peponi

    Wakuu hongereni na majukumu, ya kujijenga binafsi lakini na Taifa kwa ujumla.. Kwa mara nyingine tena kwenye jukwaa letu pendwa naomba tuangalie muundo wa Toyota Altezza.. Mimi binafsi, napenda sana muonekana wa Altezza kuanzia nje na ndani pia, umbo lake, ground clearance lakini pia ufanisi...
  2. Mjadala: Siku ya mwisho ya hukumu, watakaoenda peponi watakuwa na utambuzi walionao sasa au watafutiwa kumbukumbu zote?

    Wakuu habari za wakati huu. Samahani, nimekuja na mjadala tata kidogo ila nitafurahi kama wachangiaji watatoa hoja zenye mantiki tofauti na kuzozana pasipo misingi. Sijasimamia upande wowote, kila upande uwe huru kutoa hoja zao ili nipate kujifunza jambo. Kikubwa tu hoja ijibiwe kwa hoja. Kwa...
  3. Unaweza Jifunza Mengi toka kwa Video hii. Aendelee Pumzika Mahala pema peponi.

    Life. What is Life!?😭😭
  4. Hivi kweli pombe ni haramu kama usemavyo uislam mbona kuna ahadi ya mito ya pombe peponi?

    Huwa inanichanganya. Inakuwaje pombe iwe haramu katika uislam na hapohapo watakaoingia peponi waahidiwe pombe. hebu msikilize shehe kipozeo akiwaahakikishia waislam peponi kuna pombe.https://www.youtube.com/watch?v=LW7e3PudD7k&t=14s
  5. Morogoro, Mpanda na Mwanza ni sehemu poa sana na mna nafasi yenu peponi

    Kataa au ukubali sehemu tajwa hapo juu kusema ukweli ni poa sana kuishi na kufanya makazi na watu wake wala hawana shida na wageni kabisa yaani ukiishi kwenye hiyo mikoa unapata ladha ya furaha ya maisha sio kama wale wa kanda ya kaskazini wamejaa ubinafsi na majungu tu na wivu kwa wageni...
  6. Mbowe: Mkisikia nimepigwa risasi iombeeni roho yangu ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele"

    Kauli hii ameitoa leo kupitia X Spaces alipokjwa akiwahutubia wananchi wenye mapenzi mema kwa anchi na waliojipanga kushiriki kwa amani maandamano ya tarehe 23 Septemba 2024. Mbowe amesema kuwa mkisikia amepigwa risasi iombeeni roho yake ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele...
  7. Si mlikuwa mnasema kuwa Awamu ya Utekaji Watu ilikuwa ni ya Magufuli tu na Kumshutumu je, ya sasa bado Rais ni Magufuli aliyelala mahala pema peponi?

    Matukio ya watu kutoweka katika mazingira yenye kutatanisha huku askari polisi wakihusishwa kuwashikilia yanaendelea kushika kasi nchini. Taarifa mpya zilizolifikia Mwananchi zinadai kuwa vijana wanne wilayani Temeke, Dar es Salaam na mkazi mmoja mkoani Geita wametoweka na jitihada za...
  8. Huyu dada natumai atakuwa mke wangu peponi

    Tuna dada yetu mmoja, mtoto wa shangazi ambaye ni mkubwa sana kuliko mimi na hata amewahi kunilea udogoni kwangu. Huyu dada kwa kweli alikuwa ni mzuri sana na mwenye mapozi safi sana ya kimaumbile. Ikitokea kishindo mtaani wala hashtuki na kufazaika kiasi cha kupoteza muonekano wake. Akifurahi...
  9. Hivi Peponi kutakuwa na Nyama Choma?

    Miongoni mwa mambo ninayo yangoja kwa hamu ni kuingia mojakwamoja peponi. Naomba kuuliza wataalamu wa maandiko endapo peponi kuna nyama choma yenye pilipili kwambaali na limao. Imeandikwa tutakula vinono, naomba kujua kama kuna mwenye menu tafadhali. Lamomy wewe paradiso isahau, kwasababu...
  10. M

    Islamic Scholar anasema Waislamu wanaonewa wivu na dini zingine sababu ya Warembo Mabikra 72 watakaopewa Peponi

    Islamic scholar anasema People are jealous of our 72 virgins, tazama mwenyewe video
  11. Sheikh Rusaganya: Kwa mujibu wa Hadithi za Mtume Mohamad, Watu wafupi ni marufuku kukanyaga Peponi

    Sheikh Rusaganya ameonya kwamba kwa kujibu wa mafundisho ya kiisilamu, watu wafupi wamepigwa marufuku kukanyaga Peponi. Sheikh anasisitiza kwamba watu wafupi ni marufuku kukanyaga Peponi na hawatakiwi kuonekana kule. Msikilize Sheikh Rusaganya hapa.
  12. Wazungu ni watu wa upendo sana

    Leo hii kuna laptop nimefungua ndani nikakuta vitu Kama ifuatavyo Kule ndani nimekuta vifaa vya nchi kadhaa ikiwamo U.S.A Malaysia China Japan India Singapore Je sisi ngozi nyeusi tutaweza Nini Kama tumeshindwa kufanya tu hata vya kuiga vinavo onekana kwa macho. Tuache unafiki mfano. Mtu...
  13. Hivi ubikira wa mwanamke una utamu gani? Maana naona watu wanaahidiwa hata peponi

    Kuna hii video sheikh anaeleza kuhusu wanawake walioandaliwa kwa ajili ya wanaume waislamu kule peponi, yaani mabikira. Hapa najiuliza, kwa nijuavyo uzuri wa kumla mwanamke bikira ni kwa sababu unajua kakuheshimisha na kwamba wewe ndiye wa kwanza kumuingia, ila shughuli yenyewe huwa usumbufu na...
  14. Kwa raha hizi huko peponi walioahidiwa waislamu na mimi naanza kutafakari

    Ndugu zetu waislamu wameahidiwa makubwa pindi watakapofika peponi, na mimi naanza kujitafakari.
  15. O

    Edo Kumwembe: Simba na Yanga, peponi hazipo motoni hazipo

    HAKUNA kundi jepesi wala gumu kwa Simba na Yanga baada ya Ijumaa jioni kushuhudia wakipangwa na timu mbalimbali katika makundi yao ya Ligi ya Mabingwa. Waswahili tumeanza kupiga ramli. Inachekesha sana lakini ndio hali halisi. Fikiria kama wangepangwa wenyewe kwa wenyewe ingekuwaje? Rafiki...
  16. Rais Samia ukijiepusha na hizi dhambi utaingia peponi

    Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kupepesa macho wala kutikisa masikio. Chini ya utawala uliopita tumeshuhudia matukio mengi ya ovyo yenye kulifedhehesha taifa kwa kiasi kikubwa. Ni katika utawala huo kulikuwa na matukio ya watu wengi kupotea katika mazingira ya utata, na hawajawahi...
  17. Mwisho wa dunia ukifika sasa hivi utaenda Peponi au Motoni?

    Yaani kila nikiwaza mimi na haya mazungumbaru yangu najiona moja kwa moja motoni tu, vipi wewe jirani utakuwa upande upi Peponi au ndio tutasindikizana motoni kuwa kuni za milele?
  18. Aliyeratibu uanzishwaji wa EGA (E-Government) peponi

    Kwa mara kwanza Tanzania imekua ranked ya pili AFRIKA kwa matumizi sahihi ya teknolojia serikalini. Nimeona hii taarifa kwenye gazeti la The Citizen la leo, nikaona waziri wa TEHAMA Nape naye amezisoma taarifa hizi kwa Rank ya kidunia Tanzania ipo GROUP A ambalo lina nchi kama GERMANY, FRANCE...
  19. Siku nikifa msiniombee kwenda peponi mimi ni wa motoni, uzinzi utaniua

    Unaujua wimbo wa Cassanova, ukienda Ulaya na America Cassanova ni jamaa mmoja enzi zake alisifika kwa uzinzi mpaka wazungu wakaona eti amevunja rekodi. Kilichonishangaza ni kuwa huyo bwana hakuwahi kufikisha wanawake 130. Mimi at this age nadhani ni 500+, Wazungu wanatuonaje? Ndani ya wiki...
  20. Peponi bila kujali kutakuwa na nini ni watu gani wataingia?

    Naomba majibu kulingana na ufahamu wako wa kumjua Mungu, wale walio kufa ikifika Muda wa hukumu judge atatoa hukumu ya Moto wa Jehanamu kwa watu wenye sifa zipi na Watakao ona pepo au watakao ingia mbinguni ni watu wenye sifa zipi..? Mhubiri 7:20 [20]Bila shaka hakuna mwanadamu mwenye haki hapa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…