permit

Flight permits are permits or permission required by an aircraft to overfly, land or make a technical stop in any country's airspace. All countries have their own regulations regarding the issuance of flight permits as there is generally a payment involved. The charges normally payable would be the Route Navigation Facility Charges or RNFC for overflights and also landing and parking charges in case of aircraft making halts. The procedure for issuance of these permits also varies from country to country. More details regarding these can be taken from the respective country's civil aviation authority websites.

View More On Wikipedia.org
  1. D

    Wageni wanapewa vibali vya kununua ardhi Zanzibar na Tanganyika. Mtanganyika hawezi nunua ardhi Zanzibar. Mbona sielewi?

    Mamlaka ya Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) imewakabidhi Raia wanne wa kigeni vibali na kadi za utambulisho wa kuishi Zanzibar na Tanzania kwa ujumla baada ya baadhi ya kanuni za uhamiaji kuruhusu Wageni walionunua nyumba Zanzibar zenye thamani ya dola laki moja za Kimarekani ( zaidi ya milioni 250 )...
  2. Nahitaji mtaalam wa mfumo wa kuomba kibali cha mgeni kuishi nchini Tanzania (residential permit)

    Habari ya jioni wakuu. Ninahitaji mtu/consultant mzoefu ama mtaalam wa kazi ya kuomba vibali vya mgani toka nje ya Tanzania kuishi nchini kwa njia ya mtandao. Tayari maombi ya work permit yamefanyika na yamekubaliwa lakini tumekwama kwenye residential permit pekee. Kama unaweza kutukwamua...
  3. Nataka kufahamu utaratibu wa kupata Temporary Permit ya kuingia Kenya

    Ndugu zangu Nipo Dar es Salaam, Nataka kufahamu utaratibu wa upatikanaji wa Kibali cha Muda cha kuingia Kenya najua njia za shortcut zipo ila mimI sitaki hizo nataka kufahamu utaratibu wakupata official temporally Permit ya kuingia Kenya. Ofisi ziko wapi na kuna malipo au la, na nahitqjika...
  4. Msaada: Namna ya kupata work permit nchini Uingereza

    Habari wakuu, nipo Tz kwa Sasa, naomba utaratibu wa kupata work permit nchini Uiingereza. Niliomba kazi huko kupitia agency online ambayo iko registered na home affairs ya UK, nikafanya interview na nimetumiwa job offer na kutakuwa kuisaini, Kisha niwafowadie work permit ili watume nauli na...
  5. I

    No work permit nowadays?

    Tanzania tuna ajira chache Sana zilizobaki Mana serikali haijaajiri mda mrefu Sasa kinachonisikitisa na hawa waganda na wakenya wanafundisha mashule hapa tz na wamekuja kwa wingi Sana hawana hata working permit. Wamiliki wa shule za private wameamua kuajiri hao kwa sababu ya kingereza tu. Sasa...
  6. Msaada: Jinsi ya kupata kibali cha Masomo(study permit) nchini Afrika Kusini

    Habarini wanajukwaa, niko hapa mbele yenu nahitaji msaada wa mtu yeyote mwenye idea ya study permit ya South Africa 🇿🇦 au hata ambaye aliyekwishwa omba na kuipata. Je ni Nini kitakufanya uipate au pia ukose visa hiyo. Huwa wanaangalia sana documents gani wakati wa ukaguzi ( submission ) wa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…