As the number of organizations that process personally identifiable information increases, so does the need for such organizations to ensure the safety and privacy of data.
It is essential for organizations to implement a data protection framework that provides guidance on the protection of...
There are unquestionable scenarios that a leading Tanzania’s cellular network company, Vodacom (T) can easily hack and share customers' conversations without their consent.
Voicemail, massaging and maybe video hacking is easily tracked by Vodacom and shared to third parties, contrary to...
Taarifa binafsi ni taarifa zozote zinazohusiana na Mtu na ambazo zinaweza kumtambulisha Mmiliki wa taarifa hizo. Hizi ni taarifa ambazo Mtu anapaswa kuwa makini katika Matumizi yake ili kuepuka uwezekano wa kutumika vibaya
Taarifa hizi huusisha Majina, Anwani ya Nyumbani (location), Barua pepe...
Unashauriwa kuharibu kabla ya kutupa Waraka wowote ambao una jina lako, anuani ya makazi, namba yako ya simu na Anuani yako ya barua pepe
Taarifa hizi zinaweza kutumika kufungua Akaunti ya Ulaghai kwa kutumia jina lako
Na Prisca Ulomi, WMTH
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt Faustine Ndugulile amesema kuwa Wizara yake iko mbioni kupeleka Bungeni muswada utakaowezesha kutungwa kwa Sheria ya Kulinda Taarifa Binafsi iili kulinda faragha na taarifa za mwananchi.
Dkt. Ndugulile ameyasema hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.