Kama kuna jambo ambalo wakristo wengi wanadanganywa na kuibiwa basi ni kwenye kitu kinaitwa Sadaka.
Kila ujanja ujanja wa viongozi wa kikristo kutaka kuwatapeli waumini pesa na mali zao basi sadaka ndio kichaka cha kwanza na haraka sana kinatumika. Na jambo hili lipo kwenye madhehebu yote ya...
Maandiko yafuatayo yanaonyesha wazi kwamba Biblia inatuhadharisha kuhusu hatari ya kupenda fedha na mali, ikisisitiza umuhimu wa kuweka kipaumbele kwa mambo ya kiroho na uhusiano wetu na Mungu badala ya kutegemea mali za kidunia.
01. 1 Timotheo 6:10 "Maana shina moja la mabaya ya kila namna ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.