Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Jatu PLC, Peter Gasaya (33), anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashitaka mawili likiwamo la kujipatia Sh5.1 bilioni kwa njia ya udanganyifu, amefikisha siku 690 akiwa gerezani kutokana na upelelezi wa shauri hilo kutokamilika.
Mbali na upelelezi...
DPP AMFUTIA KESI ALIYEJIPATIA BILIONI 5 KWA UDANGANYIFU
Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) amemfutia kesi Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JATU PLC, Peter Gasaya, aliyekuwa anakabiliwa na mashtaka ya kujipatia Tsh. Bilioni 5.1 kwa njia ya udanganyifu
Ni baada ya kuwasilisha hati ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.