peter gasaya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkurugenzi wa JATU PLC aendelea kusota Gerezani kwa zaidi ya siku 690

    Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Jatu PLC, Peter Gasaya (33), anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashitaka mawili likiwamo la kujipatia Sh5.1 bilioni kwa njia ya udanganyifu, amefikisha siku 690 akiwa gerezani kutokana na upelelezi wa shauri hilo kutokamilika. Mbali na upelelezi...
  2. DPP amfutia kesi Mkurugenzi wa JATU PLC

    DPP AMFUTIA KESI ALIYEJIPATIA BILIONI 5 KWA UDANGANYIFU Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) amemfutia kesi Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JATU PLC, Peter Gasaya, aliyekuwa anakabiliwa na mashtaka ya kujipatia Tsh. Bilioni 5.1 kwa njia ya udanganyifu Ni baada ya kuwasilisha hati ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…