peter msechu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Makonde plateu

    Kwahiyo Peter Msechu anaumia wakifa viongozi tu ila hili la Kariakoo halijamuuma?

    Peter msechu hili waliokufa kariakoo halijamuuma? Au kwenye misiba ya viongozi wakifa kuna per diem anapata? Ila akiimba hili la kariakoo hamna chochote kitu?au mwana ni msaka tonge?
  2. O

    Unene wa Peter Msechu ni Fursa

    Peter anapaswa asome vitabu na kutazama makala ñyingi ili apate maarifa ya kuutumia unene wake kujiingizia mkwanja na kupata umaarufu ambao pia utazidi kumpa dili za hela Moja ya sehemu ambayo Peter anaweza kuitupia jicho ni michezo hasa ya kurusha na kunyanyua vitu vizito Hapa kama Peter...
  3. A

    Tetesi: Peter Msechu safarini Lilongwe

    Zipo tetesi Msanii Nguli nchini Peter Msechu amealikwa katika tamasha nchini Malawi. Kila la kheri P
  4. mdukuzi

    Peter Msechu acha comedy kwenye afya yako, utakufa premature utuachie mkeo, watoto wako watateseka

    Hakuna ajuaye atakufa lini, ila kuna life style usipozingatia unajiwahishia mwenyewe kaburini, Tupac nilijua atauliwa tu baafa ya diss track ya Hit them up, Amina Chifupa alijua atakufa baada ya kusema atawataja wauza udaga, Langa, Mangwea walijiwahisha mbele za haki sababu ya udaga, huenda...
  5. Erythrocyte

    Peter Msechu kupewa nafasi ya kutumbuiza Zanzibar?

    Inasemekana baada ya John Komba, Msechu ndio kama karithishwa mikoba . Je Atapewa nafasi ya kutoa wimbo kwa ajili ya Mzee Mwinyi? Ngoja tusubiri .
  6. BARD AI

    Peter Msechu adai kupungua kilo 7 baada kuwekewa puto Tumboni

    Msanii Peter Msechu amefanikiwa kupunguza uzito wa kilo saba ndani ya siku saba tangu alipowekewa puto na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Mloganzila ili kumsaidia kupunguza uzito. Msechu aliwekewa puto hilo Januari 25, 2023 akiwa na uzito wa kilo 143.4 lakini kufikia leo Februari Mosi 2023...
  7. Frumence M Kyauke

    Peter Msechu afanyiwa matibabu ya kuwekewa puto tumboni

    Peter Msechu amefanyiwa matibabu ya kuweka puto tumboni ili kupunguza uzito na unene inayoendelea kutolewa katika hospitali ya Mloganzila. Peter Msechu amefunguka machache kuhusiana na changamoto ya kuwa na uzito wa kupitia kiasi kama ifuatavyo "Watu wananisema sana mtandaoni kuwa Mimi ni mnene...
Back
Top Bottom